Daraja la Wami kujengwa upya
WIZARA ya Ujenzi imetangaza kujenga daraja jipya la Wami mkoani Pwani, ambalo ni kiungo kikubwa katika usafiri wa barabara kati ya mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi20 Jun
UJENZI DARAJA LA WAMI KUFUNGUA FURSA NYINGI KIUCHUMI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/5AAA-1-1024x683.jpg)
Muonekano Daraja la sasa la Wami linalotumika lenye urefu wa mita 88.75 ambalo halikidhi mahitaji ya magari yanayopita hapo na Serikali imekwisha anza ujenzi wa Daraja jipya la Wami eneo hilo, mkoani Pwani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1-32-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akipitia mpango kazi wa mkandarasi Power Construction Corporation anayejenga Daraja jipya la Wami linalounganisha kati ya Chalinze na mikoa ya Kaskazini mwa nchi yetu na nchi jirani, litakalokuwa na urefu wa mita 510 na upana wa mita 11.8, ...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Reli ya kati kujengwa upya
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali ina mpango wa kujenga reli mpya ya kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kupitia mikoa ya kati na kuelekea Isaka hadi Burundi ambayo ujenzi wake utazinduliwa rasmi Desemba, mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Soko la Mwanga kujengwa upya
11 years ago
Habarileo12 Apr
Makaburi ya Shekhe Yahya, Kassim kujengwa upya
SERIKALI imesema itajenga makaburi ya mashekhe wawili maarufu, yaliyodaiwa kubomolewa na Mgambo wa jiji la Dar es Salaam katika operesheni ya usafi inayoendelea.
10 years ago
GPLDARAJA JINGINE LA SELANDA KUJENGWA JIJINI DAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8DMbW-zPDQE/Xl6LDXYwEOI/AAAAAAACz_g/4rqMe-_FzaUeETZ164AzkOU7BFTMcIfMACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
DARAJA LIKIENDELEA KUJENGWA BARABARA KUU YA DODOMA NA MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8DMbW-zPDQE/Xl6LDXYwEOI/AAAAAAACz_g/4rqMe-_FzaUeETZ164AzkOU7BFTMcIfMACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-sKopSodAnJ0/Xl6LGTrUxAI/AAAAAAACz_k/QPNBC4FeDMgHP9p1mgNFwQzQYo_OecH4QCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6cSicVaCbFU/Xl6LGsOL7VI/AAAAAAACz_o/5nT14nRZCNAfV4sxeyMt72cCPxJFylLhQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-q-ttutyxWvU/Xl6LHI-QhrI/AAAAAAACz_s/unxaaUgrZLcP0iVXMxU_jl5ndeEqHqTrwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
10 years ago
MichuziBreaking nyuzzz......... :Basi la Simba Mtoto lagongana uso kwa uso na lori Daraja la Wami leo.
10 years ago
VijimamboDARAJA LA KISASA KUJENGWA BAHARINI ENEO LA AGHA KHAN HADI BARABARA YA KENYATA
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER