Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Soko la Mwanga kujengwa upya

Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji inakusudia kuwahamisha wafanyabiashara wa Soko la Mwanga lililopo mjini Kigoma ili kupisha ujenzi liwe la kisasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Reli ya kati kujengwa upya

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali ina mpango wa kujenga reli mpya ya kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kupitia mikoa ya kati na kuelekea Isaka hadi Burundi ambayo ujenzi wake utazinduliwa rasmi Desemba, mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Daraja la Wami kujengwa upya

WIZARA ya Ujenzi imetangaza kujenga daraja jipya la Wami mkoani Pwani, ambalo ni kiungo kikubwa katika usafiri wa barabara kati ya mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani.

 

11 years ago

Habarileo

Makaburi ya Shekhe Yahya, Kassim kujengwa upya

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck SadikiSERIKALI imesema itajenga makaburi ya mashekhe wawili maarufu, yaliyodaiwa kubomolewa na Mgambo wa jiji la Dar es Salaam katika operesheni ya usafi inayoendelea.

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akimsikiliza kwa makini mfanyabiashara wa Kuku katika soko la Mburahati, Mkude Higilo (kulia) wakati alipofanya ziara sokoni hapo kukutana na wafanyabiashara kuzungumzia mradi wa ujenzi mpya wa soko hilo mwishoni mwa wiki, Dar es Salaam. Kulia kwake ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge. Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na mmoja wa wafanyabiashar wa soko la Mburahati wakati wa ziara yake sokoni hapo ambapo alikutana na...

 

10 years ago

Michuzi

UONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI

 Mwenyekiti wa Soko la Mchikichini-Ilala Jumanne Kongogo akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari waliofika katika Ofisi za Soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaam leo,  kuhusiana na wafanyabiashara Walemavu kufunga barabara ambayo inaruhusu magari kutoka na kuingia katika soko hilo, magari ambayo yanatoa huduma katika soko hilo.
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Barabara mbadala kujengwa

Adha ya msongamano katika Jiji la Dar es Salaam imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) kuanza kuzifanyia matengenezo barabara mbadala ambazo zitatumika kupunguza hali hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maghala ya mafuta kujengwa nchini

Kampuni ya ENOC Africa inayojihusisha na ununuzi wa mafuta, gesi na usafirishaji nchini imejipanga kupanua shughuli zake kwa kujenga maghala ya kuhifadhia bidhaa ya mafuta ya petroli, jitihada zitakazohakikisha kuwa Tanzania na nchi za jirani zinakuwa na akiba ya kutosha katika miezi miaka michache ijayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sinza kujengwa barabara za lami

MEYA wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, amesema Kata ya Sinza inatarajiwa kuwa na mfumo wa barabara za kiwango cha lami za kisasa zitakazowekwa kutokana na vyanzo vya fedha za ndani na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanamke kujengwa kiuchumi Mbagala

Tamasha la Mwanamke na Akiba, limeweka mikakati ya kumuelimisha mwanamke kuhusu umuhimu wa kuweka akiba na kujitengenezea fursa mbalimbali za kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani