Sinza kujengwa barabara za lami
MEYA wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, amesema Kata ya Sinza inatarajiwa kuwa na mfumo wa barabara za kiwango cha lami za kisasa zitakazowekwa kutokana na vyanzo vya fedha za ndani na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Feb
BARABARA YA IGAWA — UBARUKU KUJENGWA KWA LAMI.
![](http://api.ning.com/files/g3sZFdca7afLjIAquE4x3*7dnE2Ri49dxs*nJx01MmyvQzrztWlT9tX0abtijUNuH4wYaM69jcu7HoaODXRMwcHk7Lx0xmgV/WAZIRIMAGUFULI.jpg?width=650)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (pichani) amesema serikali itajenga barabara ya Igawa hadi Ubaruku KM 18 kwa kiwango cha lami ili kuinua fursa za uchumi za wilaya ya Mbarali na kuwezesha magari makubwa kupita kwa urahisi kufuata mazao katika eneo hilo.Waziri Dkt. Magufuli amesema hayo katika ziara yake inayoendelea mkoani Mbeya ambapo leo ameweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya igawa-ubaruku yenye urefu wa KM 18 na kusisitiza barabara hiyo ni muhimu kwa uchumi wa mkoa wa...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Barabara zaidi za lami kujengwa kuokoa muda, fedha
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali itaendelea na jitihada za ujenzi wa barabara za lami, kupanua shughuli za kiuchumi na kuendeleza dhana ya maisha bora kwa kila Mtanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-liyv1ZFUVqc/XnihoC7_mDI/AAAAAAALkxU/QAfq7-iCdMAGJICMBSgAObq7a0ZiWcr1QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kilomita 39 za Barabara za Lami Zaanza Kujengwa Mji wa Serikali Mtumba Dodoma
Akizungumza leo Machi 20, 2020 katika mahojiano maalum, Katibu wa Kikosi Kazi cha Taifa cha Kuratibu Mpango wa Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshack Bandawe amesema kuwa ujenzi huo unahusisha barabara zenye urefu wa kilomita 39 ndani ya mji huo.
“Serikali inaimarisha miundombinu ndani ya mji wa Serikali ikiwemo ujenzi wa barabara za njia mbili zenye urefu...
10 years ago
VijimamboWaziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli Azindua barabara ya Igawa-Rujewa KM 9.8 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
10 years ago
Habarileo13 Nov
‘Barabara za lami zafikia asilimia 58’
SERIKALI imejenga barabara nchini kwa kiwango cha lami kwa asilimia 58. Pia, zipo barabara 11,154 zilizo katika viwango mbalimbali vya ujenzi kwa kiwango hicho cha lami katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Tandahimba walilia barabara ya lami
ABIRIA wanaotumia barabara itokayo Mtwara kwenda Tandahimba na Newala wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuitengeneza kwa kiwango cha lami licha ya kusafirisha korosho wakati wa mavuno. Akizungumza na Tanzania Daima, Halima...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2pt_ORFRL2Q/Xs0OhMSycDI/AAAAAAALrmU/QIdAWl0_sJQLoMwtwZf6DkyIrUa-bme5ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_5009.jpg)
WAKULIMAIRINGA NA MBEYA KUNUFAIKA NA BARABARA ZA LAMI
Na. Geofrey A.Kazaula
Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA unaendelea na mpango wake wa kujenga barabara za lami kupitia mradi wa Agri-Conect ili kuhakikisha wakulima wanaweza kusafirisha mazao yao kwa urahisi kutoka mashambani hadi viwandani na sokoni.
Mradi huo wa Agri–Conect unaotekelezwa katika Mikoa ya Mbeya na Iringa umepokelewa kwa shangwe na wananchi wa maeneo hayo nakueleza kuwa wanaona kama ndoto kujengewa barabara za lami na kwamba kupitia barabara hizo watajikomboa...
10 years ago
GPLWIZI MTUPU BARABARA YA LAMI TABATA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C7MKHrjpVrA/VJX5D7jyRjI/AAAAAAAG4zU/1EGxp3Uh-ts/s72-c/cc3.jpg)
Mwisho wa lami barabara ya Kondoa-Babati
![](http://3.bp.blogspot.com/-C7MKHrjpVrA/VJX5D7jyRjI/AAAAAAAG4zU/1EGxp3Uh-ts/s1600/cc3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rI0sRynU4dc/VJX5FzlknrI/AAAAAAAG4zc/_G28iVZidNw/s1600/cc4.jpg)