Tandahimba walilia barabara ya lami
ABIRIA wanaotumia barabara itokayo Mtwara kwenda Tandahimba na Newala wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuitengeneza kwa kiwango cha lami licha ya kusafirisha korosho wakati wa mavuno. Akizungumza na Tanzania Daima, Halima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HTnN6EbeGyk/XqKy8913myI/AAAAAAALoCk/pJWoMajy_ZYUODQlFu86GuPdFti3UolggCLcBGAsYHQ/s72-c/3518a6dc-2d15-4141-8719-ae924ae8fc0f.jpg)
madiwani Tandahimba wailalamikia tarura kuhusu ubovu wa Barabara vijijini.
Hatua hiyo wamefikia katika kikao Cha Baraza ambalo limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba
Aidha madiwani wamesema kuwa pamoja na jitihada zinazofanywa na Wilaya dhidi ya kuhakikisha wananchi wao pia watachangia fedha ambazo zitasaidia kununulia vifaa mbalimbali vya kujikinga na uginjea wa Corona
Mbali na Hilo...
10 years ago
Habarileo13 Nov
‘Barabara za lami zafikia asilimia 58’
SERIKALI imejenga barabara nchini kwa kiwango cha lami kwa asilimia 58. Pia, zipo barabara 11,154 zilizo katika viwango mbalimbali vya ujenzi kwa kiwango hicho cha lami katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Sinza kujengwa barabara za lami
MEYA wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, amesema Kata ya Sinza inatarajiwa kuwa na mfumo wa barabara za kiwango cha lami za kisasa zitakazowekwa kutokana na vyanzo vya fedha za ndani na...
10 years ago
GPLWIZI MTUPU BARABARA YA LAMI TABATA
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wizara yaahidi barabara za lami pembezoni
WIZARA ya Ujenzi imeanza kutekeleza mpango wa kujenga barabara kwa kiwango cha lami zilizopo pembezoni mwa mji ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C7MKHrjpVrA/VJX5D7jyRjI/AAAAAAAG4zU/1EGxp3Uh-ts/s72-c/cc3.jpg)
Mwisho wa lami barabara ya Kondoa-Babati
![](http://3.bp.blogspot.com/-C7MKHrjpVrA/VJX5D7jyRjI/AAAAAAAG4zU/1EGxp3Uh-ts/s1600/cc3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rI0sRynU4dc/VJX5FzlknrI/AAAAAAAG4zc/_G28iVZidNw/s1600/cc4.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Aug
Dumila, Rudewa wapata barabara ya lami
BARABARA ya lami kutoka Dumila hadi Rudewa katika Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, yenye urefu wa kilometa 45, inayojegwa kwa gharama ya fedha za ndani Sh bilioni 48.6.9, imezinduliwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2pt_ORFRL2Q/Xs0OhMSycDI/AAAAAAALrmU/QIdAWl0_sJQLoMwtwZf6DkyIrUa-bme5ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_5009.jpg)
WAKULIMAIRINGA NA MBEYA KUNUFAIKA NA BARABARA ZA LAMI
Na. Geofrey A.Kazaula
Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA unaendelea na mpango wake wa kujenga barabara za lami kupitia mradi wa Agri-Conect ili kuhakikisha wakulima wanaweza kusafirisha mazao yao kwa urahisi kutoka mashambani hadi viwandani na sokoni.
Mradi huo wa Agri–Conect unaotekelezwa katika Mikoa ya Mbeya na Iringa umepokelewa kwa shangwe na wananchi wa maeneo hayo nakueleza kuwa wanaona kama ndoto kujengewa barabara za lami na kwamba kupitia barabara hizo watajikomboa...
5 years ago
MichuziWANANCHI WA MAKONGOLOSI CHUNYA WALILIA BARABARA