WIZI MTUPU BARABARA YA LAMI TABATA
Sehemu ya barabara hiyo ilivyoharibika. WAKAZI na watumiaji wa barabara ya lami iendayo Chuo cha Ualimu cha St Mary kulichopo Tabata, jijini Dar es Salaam inalalamikiwa kwa kujengwa chini ya kiwango. Wakizungumza na GPL wakazi hao walisema: “Huu ni uchakachuaji uliopitiliza, haiwezekani barabara ijengwe Mei mwaka jana sasa hivi iwe imeharibika kiasi hiki, huu… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo8VBHREG4w0tjJHzXtFk1E280PHIrfTfFK2fIk8VMxyt9eyacsXRScGJL0*4cZWflZghOI*rhoyCFcra2ZCaNpl/xxlv.jpg?width=650)
MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU - 6
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6YlAbTAOS4HPGJmBBDqE8R4Q9-dYjX*B6XWEi-g9f*HPS42Cv*h2uX9ldzcRvC3NRjGyOKGiqB3qlO3WcARCscp/t.jpg?width=650)
JOHARI: MAPENZI BONGO WIZI MTUPU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrdTz*tPk0jucxXAEG8fpknGalfGLCV0gSZ-ki1OdCTHbHSU*CgpmyQX5YkfrpCnoslij5gK4P*0UZ035uyYg6D/LOVE.jpg?width=650)
MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU - 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DTyoMYlG2anMiRugt*ORp*8e1juzNCfAJ*CDym1Jdfe-FMJX3587SyUKFXWHaAw9WvplFWsAst*jWHlDP1fiKoc/MAPENZI.jpg?width=650)
MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz63-Cog3e-PKCWh1zNn5v7jiMbRmCqzCSoz6Y4KZhjDiitOi4UbvugIJj*XjpMQHwlyLdoP767qwI8rce1vlj9U7/lucyi.jpg)
LUCY KOMBA: MAPENZI YA WABONGO WIZI MTUPU
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Wadau: Biashara ya sanaa bado wizi mtupu
10 years ago
Habarileo13 Nov
‘Barabara za lami zafikia asilimia 58’
SERIKALI imejenga barabara nchini kwa kiwango cha lami kwa asilimia 58. Pia, zipo barabara 11,154 zilizo katika viwango mbalimbali vya ujenzi kwa kiwango hicho cha lami katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Tandahimba walilia barabara ya lami
ABIRIA wanaotumia barabara itokayo Mtwara kwenda Tandahimba na Newala wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuitengeneza kwa kiwango cha lami licha ya kusafirisha korosho wakati wa mavuno. Akizungumza na Tanzania Daima, Halima...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Sinza kujengwa barabara za lami
MEYA wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, amesema Kata ya Sinza inatarajiwa kuwa na mfumo wa barabara za kiwango cha lami za kisasa zitakazowekwa kutokana na vyanzo vya fedha za ndani na...