MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU - 2
![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrdTz*tPk0jucxXAEG8fpknGalfGLCV0gSZ-ki1OdCTHbHSU*CgpmyQX5YkfrpCnoslij5gK4P*0UZ035uyYg6D/LOVE.jpg?width=650)
TUKIENDELEA na mada yetu, hii ikae kwenye mstari wake ni kwamba lazima mwenzi wako awe wa ndoto zako, kadhalika na yeye vema awe wa ndoto zako. Ni kosa kubwa mtu kuanzisha uhusiano na yule ambaye hana ndoto naye. Matokeo yake yanakuwa ni migongano na kutotimia kwa malengo ya wahusika. Kuwa na mpenzi ambaye huna ndoto naye ni sawa kumpigia mbuzi gitaa, ukiamini atasikia muziki na kuucheza. Pengine wewe ndani yako unaona ndoto juu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo8VBHREG4w0tjJHzXtFk1E280PHIrfTfFK2fIk8VMxyt9eyacsXRScGJL0*4cZWflZghOI*rhoyCFcra2ZCaNpl/xxlv.jpg?width=650)
MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU - 6
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DTyoMYlG2anMiRugt*ORp*8e1juzNCfAJ*CDym1Jdfe-FMJX3587SyUKFXWHaAw9WvplFWsAst*jWHlDP1fiKoc/MAPENZI.jpg?width=650)
MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6YlAbTAOS4HPGJmBBDqE8R4Q9-dYjX*B6XWEi-g9f*HPS42Cv*h2uX9ldzcRvC3NRjGyOKGiqB3qlO3WcARCscp/t.jpg?width=650)
JOHARI: MAPENZI BONGO WIZI MTUPU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz63-Cog3e-PKCWh1zNn5v7jiMbRmCqzCSoz6Y4KZhjDiitOi4UbvugIJj*XjpMQHwlyLdoP767qwI8rce1vlj9U7/lucyi.jpg)
LUCY KOMBA: MAPENZI YA WABONGO WIZI MTUPU
10 years ago
GPLWIZI MTUPU BARABARA YA LAMI TABATA
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Wadau: Biashara ya sanaa bado wizi mtupu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJth7xmRbiXNRr6MBzcm4Dh3UZGlijAalugtvRJvsCL-b7MphlxOg-Diete4KaxOjxKjrnQBod3hhRMYrFIu*71/mahaba.jpg?width=650)
MAPENZI YA SIMU, USANII MTUPU, ZUBAA UCHEKWE!
9 years ago
Bongo511 Nov
Picha: Model atembea akiwa mtupu mitaani Hong Kong bila watu kugundua!
![model1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/model1-300x194.jpg)
Mwanamitindo mmoja ameonekana akikatiza mitaa ya jiji la Hong Kong, China akiwa mtupu kuanzia kiunoni hadi chini pasipo watu kugundua kutokana na kuchorwa mfano wa jeans katika mwili wake sehemu hiyo ya chini.
Akiwa amevaa nguo ya juu iliyoandikwa ‘No pants are the best pants’ kwa nyuma, alionekana akipishana na watu mitaani, kwenye treni sehemu za kutolea pesa na kwingine bila watu kumshitukia.
Tazama picha zake;
11 years ago
Michuzi14 Feb
Bila kujumuisha wanawake maendeleo ni ndoto: Manongi
![Joseph Msami katika mahojiano na Balozi Manongi](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/lssqXz4ZFyahcMqammuAuS0aauaLIDSeEjyLYM6AmmFf9_YrzttEmlLIuoiqBXYaweZMSpUlTBIv1WgMAZvmZw-kVtGlC5mb2n1f_iGzYa2bUaCmWyT1exSCShlQGSk7nZtBemUbQpcixw-ZBha8Yvf3vRt_8GEIgazZ1Oy6yRNypsD28j_mUYCuZOV8jcmR=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/02/Joseph-Msami-katika-mahojiano-na-Balozi-Manongi.jpg)