MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU
![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DTyoMYlG2anMiRugt*ORp*8e1juzNCfAJ*CDym1Jdfe-FMJX3587SyUKFXWHaAw9WvplFWsAst*jWHlDP1fiKoc/MAPENZI.jpg?width=650)
MAPENZI ni maisha ya kawaida ambayo wawili wanaotamkiana kupendana wanaishi. Kutamkiana kwa sababu si kila kitokacho kinywani kinaweza kuwa na maana ileile ya moyoni. Dhana nzima ya mapenzi haina urafiki na maigizo. Waigizaji hufeli katika kipengele cha uhusiano. Usipoteze muda wako na mtu ambaye moyo wako unamkataa. Kama kweli unampenda basi acha mawenge, mpe kila anachostahili, maana huyo ndiye wako wa maisha. Mara nyingi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo8VBHREG4w0tjJHzXtFk1E280PHIrfTfFK2fIk8VMxyt9eyacsXRScGJL0*4cZWflZghOI*rhoyCFcra2ZCaNpl/xxlv.jpg?width=650)
MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU - 6
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrdTz*tPk0jucxXAEG8fpknGalfGLCV0gSZ-ki1OdCTHbHSU*CgpmyQX5YkfrpCnoslij5gK4P*0UZ035uyYg6D/LOVE.jpg?width=650)
MAPENZI BILA NDOTO NI WIZI MTUPU - 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6YlAbTAOS4HPGJmBBDqE8R4Q9-dYjX*B6XWEi-g9f*HPS42Cv*h2uX9ldzcRvC3NRjGyOKGiqB3qlO3WcARCscp/t.jpg?width=650)
JOHARI: MAPENZI BONGO WIZI MTUPU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz63-Cog3e-PKCWh1zNn5v7jiMbRmCqzCSoz6Y4KZhjDiitOi4UbvugIJj*XjpMQHwlyLdoP767qwI8rce1vlj9U7/lucyi.jpg)
LUCY KOMBA: MAPENZI YA WABONGO WIZI MTUPU
10 years ago
GPLWIZI MTUPU BARABARA YA LAMI TABATA
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Wadau: Biashara ya sanaa bado wizi mtupu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJth7xmRbiXNRr6MBzcm4Dh3UZGlijAalugtvRJvsCL-b7MphlxOg-Diete4KaxOjxKjrnQBod3hhRMYrFIu*71/mahaba.jpg?width=650)
MAPENZI YA SIMU, USANII MTUPU, ZUBAA UCHEKWE!
9 years ago
Bongo511 Nov
Picha: Model atembea akiwa mtupu mitaani Hong Kong bila watu kugundua!
![model1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/model1-300x194.jpg)
Mwanamitindo mmoja ameonekana akikatiza mitaa ya jiji la Hong Kong, China akiwa mtupu kuanzia kiunoni hadi chini pasipo watu kugundua kutokana na kuchorwa mfano wa jeans katika mwili wake sehemu hiyo ya chini.
Akiwa amevaa nguo ya juu iliyoandikwa ‘No pants are the best pants’ kwa nyuma, alionekana akipishana na watu mitaani, kwenye treni sehemu za kutolea pesa na kwingine bila watu kumshitukia.
Tazama picha zake;
11 years ago
Michuzi14 Feb
Bila kujumuisha wanawake maendeleo ni ndoto: Manongi
![Joseph Msami katika mahojiano na Balozi Manongi](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/lssqXz4ZFyahcMqammuAuS0aauaLIDSeEjyLYM6AmmFf9_YrzttEmlLIuoiqBXYaweZMSpUlTBIv1WgMAZvmZw-kVtGlC5mb2n1f_iGzYa2bUaCmWyT1exSCShlQGSk7nZtBemUbQpcixw-ZBha8Yvf3vRt_8GEIgazZ1Oy6yRNypsD28j_mUYCuZOV8jcmR=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/02/Joseph-Msami-katika-mahojiano-na-Balozi-Manongi.jpg)