Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Model atembea akiwa mtupu mitaani Hong Kong bila watu kugundua!

model1

Mwanamitindo mmoja ameonekana akikatiza mitaa ya jiji la Hong Kong, China akiwa mtupu kuanzia kiunoni hadi chini pasipo watu kugundua kutokana na kuchorwa mfano wa jeans katika mwili wake sehemu hiyo ya chini.

model1

Akiwa amevaa nguo ya juu iliyoandikwa ‘No pants are the best pants’ kwa nyuma, alionekana akipishana na watu mitaani, kwenye treni sehemu za kutolea pesa na kwingine bila watu kumshitukia.

Tazama picha zake;
model2

model3

model4

model5

model6

model7

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MREMBO ATEMBEA 'UCHI' MITAA YA HONG KONG BILA KUGUNDULIKA

Mrembo akikatiza katika mitaa ya Jiji la Hong Kong bila kuvaa nguo za ndani. ...Akielekea kufanya manunuzi kwenye maduka. ...Akinunua tiketi ya treni. ...Akiwa ndani ya treni bila kugundulika kuwa hajavaa nguzo za ndani. ...Akipakwa rangi aonekane kama kavaa 'jeans'.  ...Akivaa tisheti yake baada ya kutoka kwa mchoraji. ...Akielekea mitaani baada ya… ...

 

9 years ago

Bongo5

Picha mpya za Justin bieber akiwa mtupu zasambaa mtandaoni (18+)

Tumezoea kuona mastaa wa kike wakipozi na kukipiga picha za utupu kwaajili ya matoleo ya majarida mbalimbali ambayo huwalipa mkwanja mrefu kufanya hivyo ili wauze majarida yao. Lakini safari hii ni staa wa kiume Justin Bieber ndiye ametawala vichwa vya habari baada ya picha zake akiwa mtupu kusambaa mtandaoni. Kwa mujibu wa Huffington Post picha […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Wandamanaji wakesha Hong Kong

Mamia ya waandamanaj wa Hong Kong wamezingirwa na Askari polisi wanaowataka kusitisha maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong si shwari tena

Waandamanaji nchini Hong Kong wame zusha rabsha baina yao na polisi wakati hali ya amani bado ni tete wiki tatu sasa

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong na utata wa uchaguzi

Serikali ya Hong Kong imetangaza mapendekezo kukusu kuchaguliwa kwa kiongozi wa eneo hilo mwaka 2017.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi warejea kazini Hong Kong

Wafanyakazi wa umma katika eneo la Hong Kong wamerejea kazini pamoja na kuendelea kwa maandamano zaidi ya wiki moja sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong bado hali tete

mamia ya waandamanaji wa Hong Kong wanaendelea na maandamano kwa siku ya nne na kudhoofisha maeneo muhimu ya jiji hilo .

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandaamano bado Hong kong :Wanafunzi

Hong Kong imeitisha mazungumzo maalumu na viongozi wa wanafunzi wanaoongoza maandamano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani