Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MREMBO ATEMBEA 'UCHI' MITAA YA HONG KONG BILA KUGUNDULIKA

Mrembo akikatiza katika mitaa ya Jiji la Hong Kong bila kuvaa nguo za ndani. ...Akielekea kufanya manunuzi kwenye maduka. ...Akinunua tiketi ya treni. ...Akiwa ndani ya treni bila kugundulika kuwa hajavaa nguzo za ndani. ...Akipakwa rangi aonekane kama kavaa 'jeans'.  ...Akivaa tisheti yake baada ya kutoka kwa mchoraji. ...Akielekea mitaani baada ya… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Model atembea akiwa mtupu mitaani Hong Kong bila watu kugundua!

model1

Mwanamitindo mmoja ameonekana akikatiza mitaa ya jiji la Hong Kong, China akiwa mtupu kuanzia kiunoni hadi chini pasipo watu kugundua kutokana na kuchorwa mfano wa jeans katika mwili wake sehemu hiyo ya chini.

model1

Akiwa amevaa nguo ya juu iliyoandikwa ‘No pants are the best pants’ kwa nyuma, alionekana akipishana na watu mitaani, kwenye treni sehemu za kutolea pesa na kwingine bila watu kumshitukia.

Tazama picha zake;
model2

model3

model4

model5

model6

model7

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

11 years ago

GPL

RECHO AFANYA 'BETHIDEI', WASANII WENGI WATOKA NUSU UCHI

Winfrida Joseph a.k.a Recho akikata keki. Recho akiwa na rafiki yake katika pozi.…

 

10 years ago

GPL

NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI‏

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...

 

10 years ago

GPL

MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI

MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE

Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

GPL

DENTI 'FORM FOUR' ALIYEFARIKI DUNIA SAA 3 KABLA YA MTIHANI

Stori: Mwandishi wetu NI SIMANZI! Msichana Yunis Festo aliyekuwa na umri wa miaka 18 akisoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Simba wa Yuda iliyoko katika Kijiji cha Bulima, wilaya ya Busega mkoani Simiyu, alifariki dunia ghafla, saa takriban tatu tu kabla ya kuanza mitihani ya kumaliza elimu ya sekondari, alfajiri ya Jumatatu wiki hii. Yunis Festo enzi za uhai wake. Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili akiwa...

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE AWAANDALIA 'DINNER' MASTAA NA WADAU WA FILAMU

Waigizaji na baadhi ya waandishi wa habari wakiwa tayari kusubiri chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere. Wolper na Kajala wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo.…

 

11 years ago

GPL

REDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA

Mratibu wa Shindano la kumtafuta mrembo wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala (katikati),akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo wakati wa kuitangaza zawadi za washindi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Marie Stopes, Dk. Jophn Bosco na Ofisa Uhusiano  wa TV1, Mponjoli Katule.…

 

11 years ago

GPL

BAADA YA KIPIGO CHA 4-0, EKOTTO AMTWANGA 'NDOO' MWENZAKE

Benoit Assou-Ekotto (kulia) akimsogelea mwenzake Benjamin Moukandjo baada ya kipigo cha 4-0 kutoka kwa Croatia usiku wa kuamkia leo. Benoit Assou-Ekotto akimtwanga 'ndoo' Moukandjo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani