Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Reli ya kati kujengwa upya

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali ina mpango wa kujenga reli mpya ya kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kupitia mikoa ya kati na kuelekea Isaka hadi Burundi ambayo ujenzi wake utazinduliwa rasmi Desemba, mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Soko la Mwanga kujengwa upya

Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji inakusudia kuwahamisha wafanyabiashara wa Soko la Mwanga lililopo mjini Kigoma ili kupisha ujenzi liwe la kisasa.

 

11 years ago

Habarileo

Daraja la Wami kujengwa upya

WIZARA ya Ujenzi imetangaza kujenga daraja jipya la Wami mkoani Pwani, ambalo ni kiungo kikubwa katika usafiri wa barabara kati ya mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani.

 

11 years ago

Habarileo

Makaburi ya Shekhe Yahya, Kassim kujengwa upya

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck SadikiSERIKALI imesema itajenga makaburi ya mashekhe wawili maarufu, yaliyodaiwa kubomolewa na Mgambo wa jiji la Dar es Salaam katika operesheni ya usafi inayoendelea.

 

11 years ago

Habarileo

Reli ya kati kuimarishwa

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Reli ya Kati itakuwa imefufuliwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na kuanza kubeba mizigo itakayookoa barabara.

 

11 years ago

Habarileo

Matumaini Reli ya Kati yaonekana

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiangalia moja ya mabehewa 25 ya kubeba kokoto kutoka India, likishushwa katika bandari ya Dar es Salaam jana. (Picha na Mroki Mroki).MATUMAINI ya kuboreshwa kwa Reli ya Kati kwa lengo la kuimarisha usafirishaji wa abiria na mizigo, yanazidi kuonekana baada ya serikali kuingiza mabehewa 25, ambayo ni maalumu kwa usafirishaji wa vifaa vya ukarabati wa njia hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tumieni reli ya kati kibiashara’

Wafanyabiashara wameshauriwa kusafirisha mizigo yao kwa kutumia Reli ya Kati iliyofanyiwa maboresho.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajapani kukarabati Reli ya Kati

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Norio Mitsuya, amesema Serikali yake imeweka mpango mkakati wa kuifanyIa matengenezo Reli ya Kati, kikiwemo kipande cha kati ya Kilosa na Dodoma.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wasafiri reli ya kati wakwama


NA RABIA BAKARI
MAMIA ya wasafiri waliokuwa wanaelekea mikoa ya kati na treni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL),wamekwama baada ya safari hizo kuahirishwa ghafla.
Treni hiyo ambayo ilianza safari wiki iliyopita baada ya kusimama kufanya kazi kwa  miezi kadhaa, jana iliendelea kuwa kitendawili baada ya kusitisha ghafla safari hizo bila  abiria kutangaziwa  mapema. 
Wiki iliyopita, TRL  ilitoa tangazo la kuanza safari za treni ya abiria zilizosimama kutokana na reli kuharibiwa na mafuriko, na...

 

11 years ago

Habarileo

Ujenzi reli ya kati wapigwa jeki

BODI ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia imeidhinisha msaada wa dola za Marekani milioni 300 kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo (IDA) kwa ajili ya kuongeza nguvu jitihada za Serikali katika mradi wa ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya reli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani