Wajapani kukarabati Reli ya Kati
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Norio Mitsuya, amesema Serikali yake imeweka mpango mkakati wa kuifanyIa matengenezo Reli ya Kati, kikiwemo kipande cha kati ya Kilosa na Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0001.jpg)
SERIKALI YA UJERUMANI KUTUMIA EURO MILIONI 10 KUKARABATI RELI YA KATI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6REXeTzXKVI/VoqKmpFC1JI/AAAAAAAIQRI/1r6WBZGzkGE/s72-c/mbarawa.jpg)
TRL NA RAHCO WAAGIZWA KUKARABATI RELI NDANI YA SIKU 3!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6REXeTzXKVI/VoqKmpFC1JI/AAAAAAAIQRI/1r6WBZGzkGE/s400/mbarawa.jpg)
Mhe Waziri ameutaka uongozi huo kutumia ujuzi wao wote na wahandisi na mafundi wake kurejesha tuta la reli katika hali ya kawaida ili huduma ziweze kuanza ndani ya siku 3 zijazo.
Aidha aliwataka...
11 years ago
Habarileo25 Jun
Reli ya kati kuimarishwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Reli ya Kati itakuwa imefufuliwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na kuanza kubeba mizigo itakayookoa barabara.
11 years ago
Habarileo25 Jul
Matumaini Reli ya Kati yaonekana
MATUMAINI ya kuboreshwa kwa Reli ya Kati kwa lengo la kuimarisha usafirishaji wa abiria na mizigo, yanazidi kuonekana baada ya serikali kuingiza mabehewa 25, ambayo ni maalumu kwa usafirishaji wa vifaa vya ukarabati wa njia hiyo.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Wasafiri reli ya kati wakwama
NA RABIA BAKARI
MAMIA ya wasafiri waliokuwa wanaelekea mikoa ya kati na treni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL),wamekwama baada ya safari hizo kuahirishwa ghafla.
Treni hiyo ambayo ilianza safari wiki iliyopita baada ya kusimama kufanya kazi kwa miezi kadhaa, jana iliendelea kuwa kitendawili baada ya kusitisha ghafla safari hizo bila abiria kutangaziwa mapema.
Wiki iliyopita, TRL ilitoa tangazo la kuanza safari za treni ya abiria zilizosimama kutokana na reli kuharibiwa na mafuriko, na...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Reli ya kati kujengwa upya
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali ina mpango wa kujenga reli mpya ya kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kupitia mikoa ya kati na kuelekea Isaka hadi Burundi ambayo ujenzi wake utazinduliwa rasmi Desemba, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
‘Tumieni reli ya kati kibiashara’
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Ujenzi Reli ya Kati utatukomboa kiuchumi