Barabara mbadala kujengwa
Adha ya msongamano katika Jiji la Dar es Salaam imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) kuanza kuzifanyia matengenezo barabara mbadala ambazo zitatumika kupunguza hali hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Sinza kujengwa barabara za lami
MEYA wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, amesema Kata ya Sinza inatarajiwa kuwa na mfumo wa barabara za kiwango cha lami za kisasa zitakazowekwa kutokana na vyanzo vya fedha za ndani na...
10 years ago
Vijimambo01 Feb
BARABARA YA IGAWA — UBARUKU KUJENGWA KWA LAMI.
![](http://api.ning.com/files/g3sZFdca7afLjIAquE4x3*7dnE2Ri49dxs*nJx01MmyvQzrztWlT9tX0abtijUNuH4wYaM69jcu7HoaODXRMwcHk7Lx0xmgV/WAZIRIMAGUFULI.jpg?width=650)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (pichani) amesema serikali itajenga barabara ya Igawa hadi Ubaruku KM 18 kwa kiwango cha lami ili kuinua fursa za uchumi za wilaya ya Mbarali na kuwezesha magari makubwa kupita kwa urahisi kufuata mazao katika eneo hilo.Waziri Dkt. Magufuli amesema hayo katika ziara yake inayoendelea mkoani Mbeya ambapo leo ameweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya igawa-ubaruku yenye urefu wa KM 18 na kusisitiza barabara hiyo ni muhimu kwa uchumi wa mkoa wa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/001.jpg)
BARABARA YA JUU (FLY OVER) KUJENGWA TAZARA, DAR
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Barabara ya Moshi Baa hadi Mombasa kujengwa - Silaa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8DMbW-zPDQE/Xl6LDXYwEOI/AAAAAAACz_g/4rqMe-_FzaUeETZ164AzkOU7BFTMcIfMACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
DARAJA LIKIENDELEA KUJENGWA BARABARA KUU YA DODOMA NA MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8DMbW-zPDQE/Xl6LDXYwEOI/AAAAAAACz_g/4rqMe-_FzaUeETZ164AzkOU7BFTMcIfMACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-sKopSodAnJ0/Xl6LGTrUxAI/AAAAAAACz_k/QPNBC4FeDMgHP9p1mgNFwQzQYo_OecH4QCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6cSicVaCbFU/Xl6LGsOL7VI/AAAAAAACz_o/5nT14nRZCNAfV4sxeyMt72cCPxJFylLhQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-q-ttutyxWvU/Xl6LHI-QhrI/AAAAAAACz_s/unxaaUgrZLcP0iVXMxU_jl5ndeEqHqTrwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Sep
Barabara zaidi za lami kujengwa kuokoa muda, fedha
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali itaendelea na jitihada za ujenzi wa barabara za lami, kupanua shughuli za kiuchumi na kuendeleza dhana ya maisha bora kwa kila Mtanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-liyv1ZFUVqc/XnihoC7_mDI/AAAAAAALkxU/QAfq7-iCdMAGJICMBSgAObq7a0ZiWcr1QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kilomita 39 za Barabara za Lami Zaanza Kujengwa Mji wa Serikali Mtumba Dodoma
Akizungumza leo Machi 20, 2020 katika mahojiano maalum, Katibu wa Kikosi Kazi cha Taifa cha Kuratibu Mpango wa Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshack Bandawe amesema kuwa ujenzi huo unahusisha barabara zenye urefu wa kilomita 39 ndani ya mji huo.
“Serikali inaimarisha miundombinu ndani ya mji wa Serikali ikiwemo ujenzi wa barabara za njia mbili zenye urefu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s72-c/Picha+3.jpg)
BARABARA ZAIDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KUENDELEA KUJENGWA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s1600/Picha+3.jpg)
10 years ago
VijimamboDARAJA LA KISASA KUJENGWA BAHARINI ENEO LA AGHA KHAN HADI BARABARA YA KENYATA