Breaking nyuzzz......... :Basi la Simba Mtoto lagongana uso kwa uso na lori Daraja la Wami leo.
Basi la Simba mtoto linalofanya safari zake kati ya Dar na Tanga likiwa limegongana uso kwa uso na Lori la mizigo katikati ya Daraja la Mto Wami mkoani Pwani,dereva wa lori hilo amefariki papo hapo na wengine kujeruhiwa.tutaendelea kupeana taarifa zaidi hapo baadae.
Baadhi ya wasamaria wema wakijaribu kumchomoa Dereva wa Lori hilo aliyekuwa amebanwa vibaya,pichani ambalo namba zake za usajili hazikufahamika mara moja.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
news alert: Ajali ingine yatokea Soni leo, lori la mafuta lagongana na basi la abiria uso kwa uso
![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6IJ-Hb7fvCLroFmPeYjZ4dBHNHUnGi9SLYkqy7MQ*mKFsXmaZ0ArEvxxVdz9aQnFZ0t7B*4TglCUspLlJZjeb8/IMG20150318WA0008.jpg?width=650)
AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujerihiwa baada ya basi la FM Safari likitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Mbeya kugongana uso kwa uso na Fuso iliyo sheheni nyanya katika eneo la hifadhi ya mikumi barabara ya Morogoro-Iringa. Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi kutaka kulipita gari lingine na hivyo kugongana uso kwa uso ambapo wametupia lawama baadhi ya abiria...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i_ysV_7B8Xo/VSo2tjZusAI/AAAAAAABLK0/qobF67WRFKg/s72-c/11140755_618753348261385_848284018236908077_n.jpg)
BASI LA NGANGA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO KISHA MAGARI YOTE YAWAKA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-i_ysV_7B8Xo/VSo2tjZusAI/AAAAAAABLK0/qobF67WRFKg/s1600/11140755_618753348261385_848284018236908077_n.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Feb
WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA AJALI YA BASI KUGONGANA USO KWA USO NA LORI
Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya Basi kugongana na Lori ajali iliyotokea tarehe 19/02/2015 majira ya saa 13:15hrs huko eneo la Vikonje Kata ya Mtumba Barabara ya Dodoma – Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imehusisha Basi lenye namba za usajili T. 663 AXL aina ya SCANIA Kampuni ya KIDIA ONE lililokuwa litokea Dar es Salaam kwenda Mwanza...
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya Basi kugongana na Lori ajali iliyotokea tarehe 19/02/2015 majira ya saa 13:15hrs huko eneo la Vikonje Kata ya Mtumba Barabara ya Dodoma – Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imehusisha Basi lenye namba za usajili T. 663 AXL aina ya SCANIA Kampuni ya KIDIA ONE lililokuwa litokea Dar es Salaam kwenda Mwanza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s72-c/IMG-20150409-WA0024.jpg)
BREAKING NYUZZZZ....: MABASI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO LEO MAENEO YA MKATA MKOANI TANGA, WATU ZAIDI YA 10 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s1600/IMG-20150409-WA0024.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jhhmIFp9GXc/VSZgkqyZGZI/AAAAAAAHPxg/NRZg2K9OCi0/s1600/IMG-20150409-WA0012.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kShBUxdvNDA/VL6PKCC1FWI/AAAAAAAA3Pk/Zd2HlgbkayE/s72-c/ajali(4).jpg)
COASTER YAGONGANA USO KWA USO NA LORI JIJINI DAR, WATU ZAIDI YA 40 WANUSURIKA KUFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kShBUxdvNDA/VL6PKCC1FWI/AAAAAAAA3Pk/Zd2HlgbkayE/s640/ajali(4).jpg)
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: MAMA REGINA LOWASSA USO KWA USO NA MWANA DIASPORA, LIBERATUS MWANG'OMBE
Mama Regina Lowassa leo alikuwa Chimala, Mbarali akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mbarali, Liberatus Mwang'ombe "Libe". Akiongea na wana Mbarali mama Lowassa amesema mwang'ombe ni kijana mweledi, msomi, na mwenye maono na Mbarali; hivyo basi amewaomba wana Mbarali wasimpoteze Mh. Mwang'ombe. ![](http://3.bp.blogspot.com/-JmDjFunFNb4/ViHNsx8ul9I/AAAAAAAAEcE/a0mqTzM_FGc/s640/IMG_9532.JPG)
Mama Lowassa alishangazwa na umati uliojitokeza baada ya taarifa ya masaa matutu kuwa atasimama Chimala. Mh. Mwang'ombe akitoa shukrani zake kwa mama Lowassa kufika Mbarali alisema "Mbarali ina wapiga...
Mama Lowassa alishangazwa na umati uliojitokeza baada ya taarifa ya masaa matutu kuwa atasimama Chimala. Mh. Mwang'ombe akitoa shukrani zake kwa mama Lowassa kufika Mbarali alisema "Mbarali ina wapiga...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fJN8buW0sO8/Vbdrs0PSaKI/AAAAAAABS2g/bRqGRDjRVwQ/s72-c/11813388_760691810708462_2873074362703542337_n.jpg)
WATU WANNE WAFARIKI BAADA YA BASI LA SABUNI EXPRESS KUGONGAA USO KWA USO NA TOYOTA LAND CRUISER ENEO LA BUGORORA MKOANI KAGERA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJN8buW0sO8/Vbdrs0PSaKI/AAAAAAABS2g/bRqGRDjRVwQ/s640/11813388_760691810708462_2873074362703542337_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mwh7Kbv4Pbs/VbdruKPFIHI/AAAAAAABS2s/Dbhlz4d4ns8/s640/11218754_760691854041791_5831288004828444669_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wqiMRXIcgrA/Vbdrs3PObuI/AAAAAAABS2c/vUKT0cVYTD0/s640/11800053_760691814041795_6959831254475069191_n.jpg)
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WTz9XKtzpiI/Uz7-Z1LK2dI/AAAAAAAFYnM/4sSj0WgUoSI/s72-c/IMG_4507.jpg)
ankal uso kwa uso na wazee wa kazi jijini london leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-WTz9XKtzpiI/Uz7-Z1LK2dI/AAAAAAAFYnM/4sSj0WgUoSI/s1600/IMG_4507.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8H6GfVlCgM/Uz7-cnvggKI/AAAAAAAFYnU/OqrsKaRFM8Q/s1600/IMG_4513.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10