WATU WANNE WAFARIKI BAADA YA BASI LA SABUNI EXPRESS KUGONGAA USO KWA USO NA TOYOTA LAND CRUISER ENEO LA BUGORORA MKOANI KAGERA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJN8buW0sO8/Vbdrs0PSaKI/AAAAAAABS2g/bRqGRDjRVwQ/s72-c/11813388_760691810708462_2873074362703542337_n.jpg)
Watu wanne wanasadikiwa kufariki dunia baada ya Basi la Kampuni ya Sabuni Express linalofanya safari zake kati ya Karagwe na Mwanza kugongana uso kwa uso na Gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser iliyokuwa imebeba Masister eneo la Bugorora,ikitokea Bukoba mjini kuelekea Mutukura.
Baadhi ya miili ya marehemu waliofariki katika ajali hiyo
Askari wa Usalama barabarani akiwa eneo la tukio.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Feb
WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA AJALI YA BASI KUGONGANA USO KWA USO NA LORI
Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya Basi kugongana na Lori ajali iliyotokea tarehe 19/02/2015 majira ya saa 13:15hrs huko eneo la Vikonje Kata ya Mtumba Barabara ya Dodoma – Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imehusisha Basi lenye namba za usajili T. 663 AXL aina ya SCANIA Kampuni ya KIDIA ONE lililokuwa litokea Dar es Salaam kwenda Mwanza...
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya Basi kugongana na Lori ajali iliyotokea tarehe 19/02/2015 majira ya saa 13:15hrs huko eneo la Vikonje Kata ya Mtumba Barabara ya Dodoma – Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imehusisha Basi lenye namba za usajili T. 663 AXL aina ya SCANIA Kampuni ya KIDIA ONE lililokuwa litokea Dar es Salaam kwenda Mwanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6IJ-Hb7fvCLroFmPeYjZ4dBHNHUnGi9SLYkqy7MQ*mKFsXmaZ0ArEvxxVdz9aQnFZ0t7B*4TglCUspLlJZjeb8/IMG20150318WA0008.jpg?width=650)
AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujerihiwa baada ya basi la FM Safari likitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Mbeya kugongana uso kwa uso na Fuso iliyo sheheni nyanya katika eneo la hifadhi ya mikumi barabara ya Morogoro-Iringa. Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi kutaka kulipita gari lingine na hivyo kugongana uso kwa uso ambapo wametupia lawama baadhi ya abiria...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s72-c/IMG-20150409-WA0024.jpg)
BREAKING NYUZZZZ....: MABASI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO LEO MAENEO YA MKATA MKOANI TANGA, WATU ZAIDI YA 10 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s1600/IMG-20150409-WA0024.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jhhmIFp9GXc/VSZgkqyZGZI/AAAAAAAHPxg/NRZg2K9OCi0/s1600/IMG-20150409-WA0012.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i_ysV_7B8Xo/VSo2tjZusAI/AAAAAAABLK0/qobF67WRFKg/s72-c/11140755_618753348261385_848284018236908077_n.jpg)
BASI LA NGANGA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO KISHA MAGARI YOTE YAWAKA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-i_ysV_7B8Xo/VSo2tjZusAI/AAAAAAABLK0/qobF67WRFKg/s1600/11140755_618753348261385_848284018236908077_n.jpg)
10 years ago
MichuziBreaking nyuzzz......... :Basi la Simba Mtoto lagongana uso kwa uso na lori Daraja la Wami leo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
news alert: Ajali ingine yatokea Soni leo, lori la mafuta lagongana na basi la abiria uso kwa uso
![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kShBUxdvNDA/VL6PKCC1FWI/AAAAAAAA3Pk/Zd2HlgbkayE/s72-c/ajali(4).jpg)
COASTER YAGONGANA USO KWA USO NA LORI JIJINI DAR, WATU ZAIDI YA 40 WANUSURIKA KUFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kShBUxdvNDA/VL6PKCC1FWI/AAAAAAAA3Pk/Zd2HlgbkayE/s640/ajali(4).jpg)
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
Watu wanne wamefariki dunia na 21 kujeruhiwa baada ya basi aina ya Isuzu kugonga treni ya abiria iendayo bara katika kilomita 276/0 kati ya Stesheni za Kimamba na Kilosa mkoani Morogoro saa 11:25 asubuhi leo Julai 01, 2015. Wahanga walipakiwa katika treni hiyo na kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa.Basi lilohusika ni lenye namba za usajili T837CTM Isuzu Coaster linalomilikiwa na Feisal A. Khuwel wa Kilosa.Taarifa kutoka eneo la tukio limefafanua kuwa waliofariki ni wanaume...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WTz9XKtzpiI/Uz7-Z1LK2dI/AAAAAAAFYnM/4sSj0WgUoSI/s72-c/IMG_4507.jpg)
ankal uso kwa uso na wazee wa kazi jijini london leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-WTz9XKtzpiI/Uz7-Z1LK2dI/AAAAAAAFYnM/4sSj0WgUoSI/s1600/IMG_4507.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8H6GfVlCgM/Uz7-cnvggKI/AAAAAAAFYnU/OqrsKaRFM8Q/s1600/IMG_4513.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10