UJENZI DARAJA LA WAMI KUFUNGUA FURSA NYINGI KIUCHUMI
Muonekano Daraja la sasa la Wami linalotumika lenye urefu wa mita 88.75 ambalo halikidhi mahitaji ya magari yanayopita hapo na Serikali imekwisha anza ujenzi wa Daraja jipya la Wami eneo hilo, mkoani Pwani.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akipitia mpango kazi wa mkandarasi Power Construction Corporation anayejenga Daraja jipya la Wami linalounganisha kati ya Chalinze na mikoa ya Kaskazini mwa nchi yetu na nchi jirani, litakalokuwa na urefu wa mita 510 na upana wa mita 11.8, ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 May
Daraja la Wami kujengwa upya
WIZARA ya Ujenzi imetangaza kujenga daraja jipya la Wami mkoani Pwani, ambalo ni kiungo kikubwa katika usafiri wa barabara kati ya mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani.
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
11 years ago
MichuziBreaking nyuzzz......... :Basi la Simba Mtoto lagongana uso kwa uso na lori Daraja la Wami leo.
11 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Bagamoyo ina fursa nyingi za uwekezaji — Nagu
MJI wa Bagamoyo umetajwa kuwa ni moja ya maeneo yenye fursa nyingi za uwekezaji na zinavutia wawekezaji kuwekeza katika sekta mbalimbali ambazo zikitumika ipasavyo zitasaidia mji huo kupiga hatua za...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
‘Katavi changamkieni fursa za kiuchumi zilizopo’
5 years ago
Michuzi
SAOHILL: UTUNZAJI WA MISITU NI FURSA KIUCHUMI.

Moja kati ya maeneo ya uzalishaji wa miche ya miti katika shamba la miti ya sao hill kwa ajili kuendelea kuipanda katika shamba hilo na kwa baadhi ya wananchi wanaolizunguka shamba hilo


NA FREDY MGUNDA,MUFINDI.
Wakala wa Misitu Tanzania TFS kupitisha Shamba la Miti Sao Hill Wilayani Mufindi mkoani Iringa Limewahimiza wananchi kuendelea kuitunza misitu iliyopo katika maeneo yao na kuitumia kuwa fursa ya kiuchumi kwa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Utalii Tanzania, A.Kusini kukuza fursa za kiuchumi
HIVI karibuni ulifanyika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Utalii Cape Town Afrika Kusini na kuhudhuliwa na watu zaidi ya 360. Mkutano huo wa mwaka ulifunguliwa na Waziri wa Utalii wa...