‘Katavi changamkieni fursa za kiuchumi zilizopo’
Wakazi mkoani hapa wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo, ikiwamo kuingia ubia na wawekezaji wa kigeni ili kuleta maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Nov
‘Changamkieni fursa zilizopo’
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
DC KANGOYE: Vijana tumieni fursa za kiuchumi zilizopo kujiajiri
MATAIFA mengi duniani hutegemea vijana katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa taifa. Sehemu zote yalipofanyika mageuzi ya kiuchumi, vijana walijitolea nguvu zao katika taifa husika. Vijana wengi wanaomaliza elimu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0VR7EmyxD6g/Xr6sWZbjkXI/AAAAAAALqX4/9iWRfMPCKuw9bnMan2rCkKTU74Db9gyowCLcBGAsYHQ/s72-c/614bea9b-8a83-4170-854a-8d8ffbe2e406.jpg)
MKURUGENZI HALMASHAURI YA MWANGA AFUNGUKA FURSA ZA KIUCHUMI ZILIZOPO, AWAITA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE UTALII
Charles James, Michuzi TV
NYUMBANI kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya. Nyumbani kwa Aliyekua Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk Asha-Rose Migiro. Ndipo nyumbani pia kwa Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Prof Jumanne Maghembe.
Naizungumzia Wilaya ya Mwanga iliyopo Kilimanjaro. Wilaya ambayo licha ya kutawaliwa na milima mingi lakini ina miundombinu madhubuti ya barabara na nishati ya umeme pia.
Wilaya ya Mwanga licha ya kuwa na Tarafa sita lakini umaarufu wa Tarafa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lw07RrWuFDM/UviOUAeeKMI/AAAAAAAFMCU/VNNjrgPwSWc/s72-c/KITABU+MKOA+KATAVI+FINAL28.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Wanawake changamkieni fursa — Dendego
WANAWAKE wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kuchangamkia fursa zitakazotolewa kupitia kampeni ya ‘Mwanamke na Uchumi’ mwanzoni mwa mwezi ujao, ambapo zaidi ya wanawake 300 watanufaika na mafunzo hayo yanayotolewa na kampuni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R314OqU3LVI/XlrIfWF_S5I/AAAAAAALgK8/Y3yKf0pQ1n8CTaf1gn4A-ht2btxUNtWlwCLcBGAsYHQ/s72-c/7a7bcbc4-17b3-45be-a6a8-00c44540fc4d.jpg)
Vijana wa Dar Changamkieni Fursa
![](https://1.bp.blogspot.com/-R314OqU3LVI/XlrIfWF_S5I/AAAAAAALgK8/Y3yKf0pQ1n8CTaf1gn4A-ht2btxUNtWlwCLcBGAsYHQ/s640/7a7bcbc4-17b3-45be-a6a8-00c44540fc4d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ce4b336d-7dbf-4070-b6f3-ad26824169df.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3d4736e3-47b5-4793-b582-51eb9a90181e.jpg)
************************Nteghenjwa Hosseah, Dar es salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo(Mb) amewataka vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam kuchangamkia fursa za mikopo ya vijana inayotolewa katika kila Halmashauri Nchini.
Waziri Jafo ameyasema hayo wakati alipokua akifungua Kampeni ya Vijana Twende inayolenga Vijana wa Dar es salaam kuchangamkia fursa za kujukwamua kiuchumi iliyofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza,...
11 years ago
Mwananchi20 May
‘Wakulima Mbeya changamkieni fursa’
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Waziri: Changamkieni fursa EAC
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wakulima changamkieni fursa hii
MOJA ya habari kubwa kwenye Gazeti hili jana ilihusu kauli ya Serikali kuhusu wakulima ambapo imesema kuwa kuanzia sasa ruksa kwa wakulima nchini kuuza mazao yao nje. Kauli hiyo ilitolewa...