Waziri: Changamkieni fursa EAC
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed ametoa wito kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuchangamkia biashara kwenye masoko ya kimataifa ili kukuza uchumi wa nchi hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI KAIRUKI-CHANGAMKIENI FURSA ZA UWEKEZAJI WA MAFUTA YA ALIZETI
Ametoa rai hiyo Mei 28, 2020 alipotembelea na kukagua kiwanda cha kuzalisha mafuta ya kula cha SUNSHINE kinachozalisha mafuta yanayotengenezwa kwa kutumia malighafi ya alizeti yanayoitwa Sunbelt kilichopo katika eneo la Zuzu Jijini Dodoma.
Akiwa katika...
9 years ago
Mwananchi10 Nov
‘Changamkieni fursa zilizopo’
11 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wakulima changamkieni fursa hii
MOJA ya habari kubwa kwenye Gazeti hili jana ilihusu kauli ya Serikali kuhusu wakulima ambapo imesema kuwa kuanzia sasa ruksa kwa wakulima nchini kuuza mazao yao nje. Kauli hiyo ilitolewa...
5 years ago
Michuzi
Vijana wa Dar Changamkieni Fursa



************************Nteghenjwa Hosseah, Dar es salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo(Mb) amewataka vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam kuchangamkia fursa za mikopo ya vijana inayotolewa katika kila Halmashauri Nchini.
Waziri Jafo ameyasema hayo wakati alipokua akifungua Kampeni ya Vijana Twende inayolenga Vijana wa Dar es salaam kuchangamkia fursa za kujukwamua kiuchumi iliyofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza,...
11 years ago
Mwananchi20 May
‘Wakulima Mbeya changamkieni fursa’
11 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Wanawake changamkieni fursa — Dendego
WANAWAKE wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kuchangamkia fursa zitakazotolewa kupitia kampeni ya ‘Mwanamke na Uchumi’ mwanzoni mwa mwezi ujao, ambapo zaidi ya wanawake 300 watanufaika na mafunzo hayo yanayotolewa na kampuni...
11 years ago
Michuzi
CHANGAMKIENI FURSA ZA MWANAMKE NA UCHUMI - MH. DENDEGO
Wanawake wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kujitokeza na kuchangamkia fursa zitakazotolewa na kampeni ya mwanamke na uchumi inayotarajiwa kutolewa mwanzoni mwa mwezi ujao mkoani Tanga ambapo zaidi ya wanawake 300 watanufaika na mafunzo hayo yanayotolewa na kampuni ya Angels Moment ya jijini Dar Es Salaam.
Mkuu wa wilaya ya Tanga Mheshimiwa Halima Dendego amesema fursa zitakazotolewa ni fahari kwa wanawake na wajasiriamali wa mkoa huo kwani elimu...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
‘Katavi changamkieni fursa za kiuchumi zilizopo’
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Vijana changamkieni fursa za uwekezaji — Dk Bilal
MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Gharib Bilal, amewataka vijana nchini kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji kwa njia ya ubia kutoka kwa wawekezaji wa nje, ili kujitengenezea fursa za ajira...