WAZIRI KAIRUKI-CHANGAMKIENI FURSA ZA UWEKEZAJI WA MAFUTA YA ALIZETI
Na Mwandishi wetuWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji nchini, Angellah Kairuki ametoa rai kwa Watanzania kuwekeza katika sekta ya mafuta ya kula kwa kuzingatia uhitaji na soko lililopo ndani na nje ya nchi.
Ametoa rai hiyo Mei 28, 2020 alipotembelea na kukagua kiwanda cha kuzalisha mafuta ya kula cha SUNSHINE kinachozalisha mafuta yanayotengenezwa kwa kutumia malighafi ya alizeti yanayoitwa Sunbelt kilichopo katika eneo la Zuzu Jijini Dodoma.
Akiwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yA8POHFdISI/XsdrCHaEeSI/AAAAAAALrPM/dC7MnS-t2AQL-XMel4WzVuuUEKHjd5oYACLcBGAsYHQ/s72-c/N2.jpg)
WAZIRI KAIRUKI ARIDHISHWA NA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI CHA MAGID – KONDOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yA8POHFdISI/XsdrCHaEeSI/AAAAAAALrPM/dC7MnS-t2AQL-XMel4WzVuuUEKHjd5oYACLcBGAsYHQ/s1600/N2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/N5.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Vijana changamkieni fursa za uwekezaji — Dk Bilal
MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Gharib Bilal, amewataka vijana nchini kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji kwa njia ya ubia kutoka kwa wawekezaji wa nje, ili kujitengenezea fursa za ajira...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Waziri: Changamkieni fursa EAC
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Planet Core yaangalia fursa ya uwekezaji sekta ya elimu, mafuta na gesi Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Planet Core ya Nchini India hapo Nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Kati kati ni Mwenyekiti wa Timu ya Uongozi wa Planet Core Bwana Deepak Balaji na Kulia ni Rais wa Taasisi hiyo Bwana Dilip Kulmarni.
Na Othman Khamis Ame
Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na Miundo mbinu ya Elimu, Madini, mafuta na Gesi, nishati na mawasiliano ya Planet Core kutoka...
5 years ago
MichuziWAZIRI KAIRUKI AWAPONGEZA VIONGOZI MKOA WA SINGIDA KWA KUHIMIZA UWEKEZAJI
9 years ago
Mwananchi10 Nov
‘Changamkieni fursa zilizopo’
11 years ago
Mwananchi20 May
‘Wakulima Mbeya changamkieni fursa’
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Wanawake changamkieni fursa — Dendego
WANAWAKE wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kuchangamkia fursa zitakazotolewa kupitia kampeni ya ‘Mwanamke na Uchumi’ mwanzoni mwa mwezi ujao, ambapo zaidi ya wanawake 300 watanufaika na mafunzo hayo yanayotolewa na kampuni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R314OqU3LVI/XlrIfWF_S5I/AAAAAAALgK8/Y3yKf0pQ1n8CTaf1gn4A-ht2btxUNtWlwCLcBGAsYHQ/s72-c/7a7bcbc4-17b3-45be-a6a8-00c44540fc4d.jpg)
Vijana wa Dar Changamkieni Fursa
![](https://1.bp.blogspot.com/-R314OqU3LVI/XlrIfWF_S5I/AAAAAAALgK8/Y3yKf0pQ1n8CTaf1gn4A-ht2btxUNtWlwCLcBGAsYHQ/s640/7a7bcbc4-17b3-45be-a6a8-00c44540fc4d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ce4b336d-7dbf-4070-b6f3-ad26824169df.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3d4736e3-47b5-4793-b582-51eb9a90181e.jpg)
************************Nteghenjwa Hosseah, Dar es salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo(Mb) amewataka vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam kuchangamkia fursa za mikopo ya vijana inayotolewa katika kila Halmashauri Nchini.
Waziri Jafo ameyasema hayo wakati alipokua akifungua Kampeni ya Vijana Twende inayolenga Vijana wa Dar es salaam kuchangamkia fursa za kujukwamua kiuchumi iliyofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza,...