WAZIRI KAIRUKI ARIDHISHWA NA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI CHA MAGID – KONDOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yA8POHFdISI/XsdrCHaEeSI/AAAAAAALrPM/dC7MnS-t2AQL-XMel4WzVuuUEKHjd5oYACLcBGAsYHQ/s72-c/N2.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akitoa maelekezo ya ufuatiliaji kwa Meneja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Kanda ya Kati Bw. Revocatus Rasheli wakati wa ziara ya kukagua kiwanda hicho cha kuzalisha mafuta ya alizeti cha MAGIN Ltd Kilichopo Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma iliyofanyika Mei 21, 2020.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akitoa majumuisho wakati akihitimisha ziara yake leo Mei 21, 2020...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI KAIRUKI-CHANGAMKIENI FURSA ZA UWEKEZAJI WA MAFUTA YA ALIZETI
Ametoa rai hiyo Mei 28, 2020 alipotembelea na kukagua kiwanda cha kuzalisha mafuta ya kula cha SUNSHINE kinachozalisha mafuta yanayotengenezwa kwa kutumia malighafi ya alizeti yanayoitwa Sunbelt kilichopo katika eneo la Zuzu Jijini Dodoma.
Akiwa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4-ob_zL-0XQ/VaTpJYo24cI/AAAAAAAHpkk/Y9XOE6iGQ1w/s72-c/DSC08198.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4-ob_zL-0XQ/VaTpJYo24cI/AAAAAAAHpkk/Y9XOE6iGQ1w/s640/DSC08198.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AqSZoMIbG1I/VaTpIfUM6XI/AAAAAAAHpkc/UdSHTUEf8CQ/s640/DSC08206.jpg)
10 years ago
VijimamboBALOZI WA JAPAN ASAINI MKATABA WA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI WILAYANI CHATO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dBPTjz9ebj4/XmzgRpsEwVI/AAAAAAALjpU/VoguUtErvr0a0QGNr7HPl-c_P7YR9qjzgCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-7-768x512.jpg)
ZUNGU ARIDHISHWA NA KIWANDA CHA KUREJELEZA CHUPA ZA PLASTIKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dBPTjz9ebj4/XmzgRpsEwVI/AAAAAAALjpU/VoguUtErvr0a0QGNr7HPl-c_P7YR9qjzgCLcBGAsYHQ/s640/1AA-7-768x512.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiangalia chupa za plastiki zilizo katika mchakato wa kurejelezwa alipotembelea kiwanda cha A One Products & Bottlers Recycle Unit cha Mbagala jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kukagua na kuwakumbusha wajibu wao katika ukusanyaji na kuwasogezea karibu wanachi wanaokusanya chupa hizo ikiwa ni sehemu mojawapo ya kuhifadhi mazingira.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2AA-5-1024x682.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WyqLM_PGioM/U3_CcndDS2I/AAAAAAAFkp0/pv32cv5eJW0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA KIWANDA CHA KUKAMUA MAFUTA YA UFUTA CHA TAKEMOTO, NAGOYA JAPAN
![](http://3.bp.blogspot.com/-WyqLM_PGioM/U3_CcndDS2I/AAAAAAAFkp0/pv32cv5eJW0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UD0blZa0YH4/U3_CcefkR0I/AAAAAAAFkps/TkXO-VhFhqQ/s1600/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d-1-E8YrF6c/U43WSLbVgXI/AAAAAAAFnYY/4ReeNUAbjW0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA ULINZI AZINDUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIFAA VYA UJENZI CHA UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-d-1-E8YrF6c/U43WSLbVgXI/AAAAAAAFnYY/4ReeNUAbjW0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1tjrqbHh3g4/U43Whfc8tvI/AAAAAAAFnYg/EephneFTKaI/s1600/2.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO JAPHET HASUNGA ATEMBELEA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU MKOANI MANYARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C9siA1Na5xE/Xt0O0JI5_wI/AAAAAAALs7E/pC6m0rySm4E3F8y5jGrgG6q63LAB2FRgwCLcBGAsYHQ/s72-c/876014bc-9c06-4403-834c-46125166bcde.jpg)
WAZIRI MHAGAMA APONGEZA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA KATIKA UJENZI KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI CHA KARANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9siA1Na5xE/Xt0O0JI5_wI/AAAAAAALs7E/pC6m0rySm4E3F8y5jGrgG6q63LAB2FRgwCLcBGAsYHQ/s640/876014bc-9c06-4403-834c-46125166bcde.jpg)