Kituo cha Polisi Mkokotoni kukamilika Mwezi Juni
![](https://1.bp.blogspot.com/--DwKhcaB_YI/Xm4Xs76pvaI/AAAAAAALjvk/zbpUP0jI8fUG8MrhQL1OSSX-zbXMHIfJACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2.-2048x1365.jpg)
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje ,Ulinzi na Usalama, Prosper Mbena, akikagua ukuta wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Kituo cha Polisi Mkokotoni, kilichopo Kaskazini Unguja, Zanzibar.Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni. Kamati hiyo imefika kukagua mradi huo baada ya kituo cha awali kuungua katika ajali ya moto iliyosababishwa na hitilafu za umeme.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jQFXnqGUAek/U3vYONJ3ktI/AAAAAAAFj_8/ExBJni1jFdg/s72-c/unnamed+(6).jpg)
sherehe za mahafali na ufungaji wa mradi wa ZEET, kituo cha mafunzo ya amali Mkokotoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-jQFXnqGUAek/U3vYONJ3ktI/AAAAAAAFj_8/ExBJni1jFdg/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RrjqR-QHdUQ/U3vYOv0AcsI/AAAAAAAFkAE/_enE_8-FmSk/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R1kZYYLrq-U/U3vYPM86S-I/AAAAAAAFkAI/cWEX7DRo-J4/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi10 Nov
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
11 years ago
Habarileo16 Feb
Kituo kipya cha daladala Ubungo kuanza mwezi ujao
KITUO kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la Mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha Ubungo kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa sehemu kubwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWukwFya7XTr59YC9rFWkloYRuOen-GQR8MNdIqsraym5J3oh*jyniPGB2WnBEbEvS4IdzsLw-Vl1JzgLO4M5VTE/10341975_253082864897461_6093383173001738673_n.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4ur97VhIdHrwwacMHra1YOjmjnrzAl7RP7DI3YZHKtOrvI*epTTORCUd5H4PNqWuicflqHnYJzsmc*IltS4ZSd/BREAKING.gif)
KITUO CHA POLISI STAKISHARI-UKONGA CHAVAMIWA, POLISI WAUAWA NA KUPORWA SILAHA
10 years ago
Habarileo05 Mar
Mtambo wa Kinyerezi kukamilika Juni
MENEJA wa Miradi ya Umeme ya Kinyerezi, Simon Jilima amesema mtambo wa Kinyerezi 1 unaojengwa na kampuni ya Yakobsen Elektro ya Norway, unatarajia kukamilika mapema Juni mwaka huu.
11 years ago
Habarileo09 Aug
Daraja la Kigamboni kukamilika Juni mwakani
UJENZI wa Daraja la Kigamboni katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam umekamilika kwa asilimia 60 na linatarajiwa kuanza kutumika Juni mwakani.
10 years ago
Habarileo12 Dec
Kampasi mpya MUHAS kukamilika Juni 2016
UJENZI wa Kampasi Mpya ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) unaoendelea katika eneo la Mloganzila sambamba na ujenzi wa hospitali ya kutoa huduma na kufundishia kwa vitendo unaotarajiwa kukamilika Juni mwaka 2016.