AMIRI JESHI MKUU NA RAIS WA TANZANIA DKT. JAKAYA KIKWETE AZINDUA MELI VITA ZA JESHI LA WANAMAJI
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
Amiri Jeshi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_sSah7dVhQA/VeQkyd_dEuI/AAAAAAAH1NI/lVS57RJtkmE/s72-c/New%2BPicture.png)
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA LAANDAA SHEREHE ZA KUMUAGA AMIRI JESHI MKUU MHE. DKT KIKWETE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_sSah7dVhQA/VeQkyd_dEuI/AAAAAAAH1NI/lVS57RJtkmE/s1600/New%2BPicture.png)
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 31 Agosti, 2015,Tele Fax : 2153426Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti : www.tpdf.mil.tz
Taarifa kwa Vyombo vya Habari Vyombo vya Ulinzi na Usalama...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s72-c/unnamedL.jpg)
AMIRI JESHI MKUU RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA KYERWA LUTENI KANALI BENEDICT KITENGA (MSTAAFU) LEO MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s1600/unnamedL.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Apr
RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-4Fm9Bj1YBOk%2FVT_eqIVEHQI%2FAAAAAAADles%2FnnkciGsQ1qs%2Fs1600%2Fn1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-uo8Nllk4AqQ%2FVT_eqYAa92I%2FAAAAAAADleo%2Fy_RG-XCUw2A%2Fs1600%2Fn2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-KwhSi5MxjhE%2FVT_eqv6C8WI%2FAAAAAAADlew%2Fzck9EKdCM8A%2Fs1600%2Fn3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-129JWutGlK0%2FVT_esQmufBI%2FAAAAAAADlfA%2FfnOp8nCSkS4%2Fs1600%2Fn4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3Oi3bgpT98CqwZPeK1PrGeeQqsl1cKr7ncL3y1X8Pr-e79b6EvGcB0Rw95jqQ9kidiy5MKKEox8Z3YcFgBYQd2-/n1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amwakilisha Rais Jakaya Kikwete, azindua HALOTEL TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza jambo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, wakati walipokuwa kwenye Hafla ya uzinduzi wa Mtandao mpya wa simu za Halotel Tanzania, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, jana usiku Okt 15, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Rais Kikwete azindua meli za vita Dar
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, amezindua na kuidhinisha rasmi matumizi ya meli mbili za vita ambazo ni P 77 Mwitongo na P 78 Msoga na kusema huo ni mwanzo wa kutokomeza uharamia na wizi wa rasilimali katika eneo la Bahari ya Hindi.
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa meli hizo jana katika kambi ya Jeshi la Wanamaji (NAVY), iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema zimepatikana wakati mwafaka ambapo...
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Hongera Amiri Jeshi Mkuu
MIAKA takriban miwili iliyopita, yaani Siku ya Ijumaa, Septemba 27, mwaka 2013, Katibu Mkuu wa Um
Mwandishi Wetu