Brazil yatetea maandalizi yake
Rais wa Brazil Dilma Rousseff ametetea jinsi ambavyo taifa lake limetayarisha Kombe la Dunia litakaloanza juma lijalo jijini Sao Paulo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 May
China yatetea miradi yake baharini
11 years ago
Habarileo01 May
Serikali yatetea tuzo yake kwa Warioba
NISHANI ya Kuuenzi Muungano aliyopewa Jaji Joseph Warioba, haikumaanisha kumkejeli, bali amepewa kwa heshima kama ilivyo kwa viongozi wengine waliopewa nishani hiyo.
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
FIFA yaonya Brazil kuhusu maandalizi ya kombe la dunia
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Minaj afanya maandalizi ya ndoa yake
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, ameweka wazi sehemu ambayo atafunga ndoa na mpenzi wake Meek Mill, mwaka 2016.
Wasanii hao wamekuwa kwenye uhusiano kwa mwaka mmoja sasa, hivyo wanatarajia kufunga ndoa mwakani huku Minaj tayari akiweka wazi sehemu sahihi ambayo wataifungia ndoa hiyo.
“Mwaka 2016 ninatarajia kufunga ndoa na Meek Mill, ninaona sehemu sahihi ya kufungia ndoa hiyo ni kanisani au ufukweni.
“Sehemu zote mbili ziko tayari lakini muda ukifika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R349E5LZ3m0/VM-wKfspUnI/AAAAAAAHBHY/BC8awKrZIGQ/s72-c/images.jpg)
RAIS WA UJERUMANI KUWASILI LEO USIKU , MAANDALIZI YA MAPOKEZI YAKE YAKAMILIKA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-R349E5LZ3m0/VM-wKfspUnI/AAAAAAAHBHY/BC8awKrZIGQ/s1600/images.jpg)
Akizungumzia ujio wa rais huyo ofisini kwake leo jijini Dar es salaam Mh. Meck Sadiki amesema kuwa rais Joachim Gauck na msafara wake atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere majira ya saa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-di7MxfRLY4I/U53aX3Hiq1I/AAAAAAAFqyQ/ytF9YEvu8w4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
CUF kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya Mkutano Mkuu Taifa
Chama Cha Wananchi CUF kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya Mkutano Mkuu Taifa utakaoambatana na uchaguzi wa viongozi wakuu wa Kitaifa wa Chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi kuu za Chama hicho Buguruni Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad amesema maandalizi yote ya msingi kwa ajili ya mkutano huo yamekamilika. Maalim Seif amesema katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 hadi 27 mwezi huu,...
11 years ago
CloudsFM25 Jun
KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka
uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Chadema yatetea wanahabari
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
CCM Moro yatetea mawaziri
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, kimesema wabunge wake waliopo kwenye nyadhifa za uwaziri sio mizigo kwa kuwa wameonekana kufanya kazi vizuri. Wabunge wa Mkoa wa Morogoro ambao wamo...