CUF kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya Mkutano Mkuu Taifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-di7MxfRLY4I/U53aX3Hiq1I/AAAAAAAFqyQ/ytF9YEvu8w4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Na Hassan Hamad (OMKR)
Chama Cha Wananchi CUF kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya Mkutano Mkuu Taifa utakaoambatana na uchaguzi wa viongozi wakuu wa Kitaifa wa Chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi kuu za Chama hicho Buguruni Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad amesema maandalizi yote ya msingi kwa ajili ya mkutano huo yamekamilika.
Maalim Seif amesema katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 hadi 27 mwezi huu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cjwkdODyrG4/U5__zVUSzcI/AAAAAAAFrLk/LONCbO9tdws/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Maandalizi Mkutano Mkuu CUF yapamba moto
![](http://4.bp.blogspot.com/-cjwkdODyrG4/U5__zVUSzcI/AAAAAAAFrLk/LONCbO9tdws/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PMxowcxryHA/U5__ynaQQnI/AAAAAAAFrLc/g_sKjN5NIp8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--jTel7SmhCs/U5__zY017EI/AAAAAAAFrLg/_2Rl4vI9zjs/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Dewji Blog26 May
Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eKLcTgHARlQ/VhEGNEvP4CI/AAAAAAAH8uc/_H5pOK3T_00/s72-c/New%2BPicture.png)
WITO KWA AJILI YA MKUTANO MKUU WA ZIADA
![](http://2.bp.blogspot.com/-eKLcTgHARlQ/VhEGNEvP4CI/AAAAAAAH8uc/_H5pOK3T_00/s1600/New%2BPicture.png)
Jumuiya ya Watanzania Sweden Mahali: Näsby Alle´6183 55 Näsby ParkSiku: JumamosiTarehe: 31-10-2015Saa: 9:00 jioni Kwa watanzania tunatoa taarifa ya wito wa Mkutano Mkuu wa ziada kwa ajili ya kuchagua viongozi watakao chukua majukumu ya kuwaongoza watanzania waishio nchini Sweden, na kujenga uhusiano na taasisi mabali mbali na vyama vyengine viliopo nchi jirani. Uongozi wa kamati ya maandalizi ya Jumuiya ya Watanzania inawataarifu kwamba...
9 years ago
StarTV20 Aug
Serikali Yakataa Ombi la UKAWA Kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Uzinduzi wa Kampeni Za Uchaguzi Mkuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-GEboe3gnTq8/VdVs1JxJlcI/AAAAAAAAjXU/Q4epfhqNTfg/s1600/1.jpg)
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia taarifa kutoka Serikalini kuhusu Chadema kutumia Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake siku ya tarehe 22 Agosti, 2015 jijini Dar es Salaam. Kanusho hilo lilitolewa katika Ukumbi wa Idara...
9 years ago
VijimamboMAANDALIZI YA TAMASHA LA KULIOMBEA TAIFA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU YA KAMILIKA LITAFANYIKA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM, OKTOBA 4, 2015
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKmKf0kkdyEuS87qxop2Sg-2w-s-70HQY4*SrBNfCyMVeWtWEDRUJYlwFzkaST-gWeyy8JpgQRGnZLzdsB0L8GWe/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AANZA MAANDALIZI KWA AJILI YA MTOTO WAKE WA KIKE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H4DFfNHXYkc/VMfQ7yg3t4I/AAAAAAACywI/rA74j8583hA/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WETE-KASKAZINI PEMBA,AWATAKA VIONGOZI WA CUF KUTENDA HAKI KWA WANANCHI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-H4DFfNHXYkc/VMfQ7yg3t4I/AAAAAAACywI/rA74j8583hA/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CS2K4IrK3Qw/VMfQ8TSdcqI/AAAAAAACywQ/c1hqveBpwno/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jMrz0ANvGiM/VMfQ-Pwl6pI/AAAAAAACyww/aXwM_QCBEWA/s1600/7.jpg)
9 years ago
GPLMAANDALIZI YA TAMASHA LA KULIOMBEA TAIFA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU YAKAMILIKA