CCM Moro yatetea mawaziri
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, kimesema wabunge wake waliopo kwenye nyadhifa za uwaziri sio mizigo kwa kuwa wameonekana kufanya kazi vizuri. Wabunge wa Mkoa wa Morogoro ambao wamo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo15 Aug
Mawaziri 11 waanguka CCM
SASA ni dhahiri kuwa mawaziri 11 wa Serikali ya Awamu ya Nne inayomaliza muda wake, wametoswa katika mbio za kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati yao wakiwemo watatu ambao kura katika majimbo yao zilirudiwa baada ya kulalamikiwa.
9 years ago
Vijimambo03 Oct
MOTO WA MWIGULU NCHEMBA WATUA MAJIMBO 5 YA MOROGORO,HAKIKA MORO NI NGOME YA CCM
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/12143087_431153853753515_7192278714545686298_n.jpg?oh=2db006c15369b706e87f1192bb879ccd&oe=56D2789C)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12088253_431155910419976_5298678382071065635_n.jpg?oh=1bf59f7d6fe807368970ebcf1572e871&oe=56A0ECE4)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12115440_431155737086660_873873782742326174_n.jpg?oh=b04e5ad8a977e5389e002bd4cf4e457a&oe=56954BBE)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12141774_431153923753508_3468242875379938693_n.jpg?oh=57aaccd8c0013205fbd6f993848b4f84&oe=568E7511)
9 years ago
Habarileo18 Aug
CC ya CCM yathibitisha anguko la mawaziri
KAMATI Kuu (CC) ya CCM jana ilikamilisha uteuzi wa wagombea ubunge katika majimbo 11 yaliyokuwa na dosari ambapo sasa wabunge wa zamani, Profesa Peter Msolla, Dk Binilith Mahenge, Dk Seif Rashid, Vita Kawawa, Gaudence Kayombo na Dk Titus Kamani wamekwama katika kutetea nafasi hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Mawaziri mizigo waipasua CCM
HALI si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni ambapo sasa makundi mbalimbali yameanza kuibuka na kushambuliana kwa maneno...
11 years ago
Habarileo24 Jan
CCM yaonya mawaziri wake
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimelihadharisha Baraza jipya la Mawaziri hasa mawaziri waliolalamikiwa na kurejeshwa, kuwa wanapaswa kuwajibika ipasavyo vinginevyo chama hakitasita kuwachukulia hatua. Aidha, kimetetea uamuzi wake wa kufanya ziara mikoani na kukosoa baadhi ya watendaji wakiwamo mawaziri na kusisitiza kuwa uamuzi huo ulitokana na mkutano mkuu wa chama hicho na una lengo la kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama hicho na si malengo binafsi.
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...
10 years ago
Habarileo21 Aug
CCM yabana mawaziri Bunge Maalum
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewabana mawaziri na wabunge wake wasiohudhuria shughuli za Bunge Maalumu la Katiba.
9 years ago
Mtanzania18 Aug
CCM yawatosa mawaziri waliobwagwa ubunge
Patricia Kimelemeta na Esther Mbussi, Dar es Salaam
LICHA ya Chama Cha Mpinduzi (CCM) kuamuru kurudiwa uchaguzi katika baadhi ya majimbo yakiwamo yaliyokuwa yanaongozwa na mawaziri wa Rais Jakaya Kikwete, hatimaye chama hicho kimewatosa rasmi.
Kutoswa kwa mawaziri hao kunatokana na kushindwa kwao kwenye kura za maoni za marudio ambako pia wana CCM wamebwaga katika mchakato huo na kusubiri hatima ya Kamati Kuu ya chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu...
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Onyo la CCM kwa mawaziri 'mizigo'