CCM yabana mawaziri Bunge Maalum
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewabana mawaziri na wabunge wake wasiohudhuria shughuli za Bunge Maalumu la Katiba.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Aug
Kamati Kuu CCM yajadili Bunge Maalum
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete jana alifungua kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, ambapo pamoja na mambo mengine kitajadili mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Vijimambo18 Oct
HALMASHAURI KUU YA CCM YALIPONGEZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
HALMASHAURI Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) imemaliza kikao chake cha siku mbili chini ya Mwenyekiti wa CCM Dkt. JAKAYA KIKWETE ambapo pamoja na mambo mengine imepokea taarifa ya mchakato wa Katiba na kulipongeza bunge hilo.
Aidha imeunga mkono kwa asilimia mia moja Katiba hiyo pendekezi na kuwataka wananchi waisome,kuitafakari na wakati ukifika wajitokeze kwa wingi na kupigia kura ya ndio.Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi ndugu NAPE...
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
CCM yatoa pongezi kwa Bunge Maalum la Katiba
![10](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/1010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kYmA3MfK5Vg/VEFu_IK1zAI/AAAAAAAASaA/R73a8dQfKxY/s1600/9.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akiandika baadhi ya mambo muhimu ya kufafanua katika suala la maadili ndani ya Chama.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4SJAyzzxno8/VEFu_0oiLpI/AAAAAAAASaE/YHwS7o-gteU/s1600/8.jpg)
Dk.Asha-Rose Migiro akizungumzia mambo mbali mbali yanayohusiana na siasa na mahusiano ya...
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Michuzi05 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s72-c/1.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAHIMIZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUHUDHURIA VIKAO NA KUSHIRIKI KATIKA MIJADALA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s1600/1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi alisema,Kamati Kuu pamoja na mambo mengine, ilipokea taarifa na kufanya tathimini juu ya maendeleo ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba nchini, ndani na nje ya Bunge.
Kamati Kuu vilele imepokea na kujadili taarifa kuhusu mazungumzo na mashauriano kati ya vyama vya CUF, CHADEMA,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
11 years ago
Michuzi20 Feb
taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyUmlW2B5UM/UwYVaXuz21I/AAAAAAACprg/y0XD14-INGE/s1600/mtanda.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-15UcnFNNLik/UwYVcoRJp-I/AAAAAAACprw/eOOpdzCRJHA/s1600/WMK.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-FJdD5nbXlWw/UwYVS8qkz6I/AAAAAAACprY/5a9HX2w8teI/s1600/2B.jpg)