Kamati Kuu CCM yajadili Bunge Maalum
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete jana alifungua kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, ambapo pamoja na mambo mengine kitajadili mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s72-c/1.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAHIMIZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUHUDHURIA VIKAO NA KUSHIRIKI KATIKA MIJADALA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s1600/1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi alisema,Kamati Kuu pamoja na mambo mengine, ilipokea taarifa na kufanya tathimini juu ya maendeleo ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba nchini, ndani na nje ya Bunge.
Kamati Kuu vilele imepokea na kujadili taarifa kuhusu mazungumzo na mashauriano kati ya vyama vya CUF, CHADEMA,...
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YkKrMwBaxnk/VIRZb6XkDlI/AAAAAAACUAM/YpALm2vUZhg/s72-c/IMG_7537.jpg)
MKUTANO WA KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA (NEC)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YkKrMwBaxnk/VIRZb6XkDlI/AAAAAAACUAM/YpALm2vUZhg/s640/IMG_7537.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l99vOHJvwTg/VIRZg4kzzSI/AAAAAAACUAU/zjt4f5Z9Tk8/s640/IMG_7541.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KT_oohlOnYM/VcTI6LmwCbI/AAAAAAAHvKM/cSVxQFw6sSY/s72-c/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM (NEC) ZANZIBAR YAKUTANA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-KT_oohlOnYM/VcTI6LmwCbI/AAAAAAAHvKM/cSVxQFw6sSY/s640/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vllFCjij1sU/VcTI-pniZxI/AAAAAAAHvKU/hJBLdo6LgnM/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo18 Oct
HALMASHAURI KUU YA CCM YALIPONGEZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
HALMASHAURI Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) imemaliza kikao chake cha siku mbili chini ya Mwenyekiti wa CCM Dkt. JAKAYA KIKWETE ambapo pamoja na mambo mengine imepokea taarifa ya mchakato wa Katiba na kulipongeza bunge hilo.
Aidha imeunga mkono kwa asilimia mia moja Katiba hiyo pendekezi na kuwataka wananchi waisome,kuitafakari na wakati ukifika wajitokeze kwa wingi na kupigia kura ya ndio.Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi ndugu NAPE...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BMKt2dF3E-A/Vn_ayUZ8XQI/AAAAAAAIO54/8dkQGYKrjbs/s72-c/DSC_7103.jpg)
DKT SHEIN AONGOZA MKUTANO WA SIKU MOJA KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM ZANZIBAR(NEC)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BMKt2dF3E-A/Vn_ayUZ8XQI/AAAAAAAIO54/8dkQGYKrjbs/s640/DSC_7103.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnSRSdIA1lA/Vn_aytUqFdI/AAAAAAAIO50/LG0CuuN9mPI/s640/DSC_7141.jpg)
11 years ago
Michuzi05 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LsCeC9lhGt8/U_QIlDeWPVI/AAAAAAAGA1U/FuyI5U8vP3E/s72-c/0L7C0086.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-LsCeC9lhGt8/U_QIlDeWPVI/AAAAAAAGA1U/FuyI5U8vP3E/s1600/0L7C0086.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-psSP19LECkg/U_QGL68tHoI/AAAAAAAGA08/OqLA7f8tyjU/s1600/dom2.jpg)