HALMASHAURI KUU YA CCM YALIPONGEZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
HALMASHAURI Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) imemaliza kikao chake cha siku mbili chini ya Mwenyekiti wa CCM Dkt. JAKAYA KIKWETE ambapo pamoja na mambo mengine imepokea taarifa ya mchakato wa Katiba na kulipongeza bunge hilo.
Aidha imeunga mkono kwa asilimia mia moja Katiba hiyo pendekezi na kuwataka wananchi waisome,kuitafakari na wakati ukifika wajitokeze kwa wingi na kupigia kura ya ndio.Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi ndugu NAPE...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s72-c/unnamedq.jpg)
TMF yalipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika Katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki
![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s1600/unnamedq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1QnHdZP0ORA/VDPyk49W4_I/AAAAAAAGohE/Qxdq1YztkaA/s1600/unnamedq2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s72-c/1.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAHIMIZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUHUDHURIA VIKAO NA KUSHIRIKI KATIKA MIJADALA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s1600/1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi alisema,Kamati Kuu pamoja na mambo mengine, ilipokea taarifa na kufanya tathimini juu ya maendeleo ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba nchini, ndani na nje ya Bunge.
Kamati Kuu vilele imepokea na kujadili taarifa kuhusu mazungumzo na mashauriano kati ya vyama vya CUF, CHADEMA,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GsuPmXwWvXnJN5KAm5VtXV5WmFaosWeG2OHkE8lj*z7HRCh3WSwLHXYswTYiJdLIvGPjeZciHwvyJO2dLdBmo0mP/13.gif)
MKUTANO MAALUM WA HALMASHAURI KUU CCM WAAHIRISHWA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YkKrMwBaxnk/VIRZb6XkDlI/AAAAAAACUAM/YpALm2vUZhg/s72-c/IMG_7537.jpg)
MKUTANO WA KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA (NEC)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YkKrMwBaxnk/VIRZb6XkDlI/AAAAAAACUAM/YpALm2vUZhg/s640/IMG_7537.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l99vOHJvwTg/VIRZg4kzzSI/AAAAAAACUAU/zjt4f5Z9Tk8/s640/IMG_7541.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino watembelea Bunge Maalum la Katiba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino waliotembelea Bunge Maalum la Katiba wakipigwa picha na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Zaynab Kawawa wakati wa mapumziko ya mchana ya Bunge hilo mjini Dodoma Aprili 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KT_oohlOnYM/VcTI6LmwCbI/AAAAAAAHvKM/cSVxQFw6sSY/s72-c/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM (NEC) ZANZIBAR YAKUTANA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-KT_oohlOnYM/VcTI6LmwCbI/AAAAAAAHvKM/cSVxQFw6sSY/s640/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vllFCjij1sU/VcTI-pniZxI/AAAAAAAHvKU/hJBLdo6LgnM/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BMKt2dF3E-A/Vn_ayUZ8XQI/AAAAAAAIO54/8dkQGYKrjbs/s72-c/DSC_7103.jpg)
DKT SHEIN AONGOZA MKUTANO WA SIKU MOJA KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM ZANZIBAR(NEC)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BMKt2dF3E-A/Vn_ayUZ8XQI/AAAAAAAIO54/8dkQGYKrjbs/s640/DSC_7103.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnSRSdIA1lA/Vn_aytUqFdI/AAAAAAAIO50/LG0CuuN9mPI/s640/DSC_7141.jpg)