Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA yaonya Brazil kuhusu maandalizi ya kombe la dunia

FIFA imetoa onyo kwa Brazil kuwa Curitiba huenda ukaondolewa miongoni mwa miji itakayoandaa fainali ya kombe la dunia kutokana na kuchelewesha kwa ujenzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

kombe la dunia brazil?

 Hapana. Hawa ni sehemu ya wadau kutoka sehemu mbalimbali ya nchi zaidi ya 10,000 waliofika asubuhi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kwa ajili ya usaili wa kazi katika Idara ya Uhamiaji, kuwania nafasi takriban 70 zilizotangazwa 

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Hakuna fidia ya kombe la dunia

FIFA,imetangaza kuwa halitazilipa fidia klabu barani Ulaya ambazo hazijafurahia hatua ya FIFA kuandaa kombe la dunia nchini Qatar mwezi Novemba na Disemba ya mwaka wa 2022.

 

11 years ago

Michuzi

wadau washuhudia kombe la dunia Brazil

 Hawa ni sehemu ya Wadau kadhaa wa Kitanzania walioko Brazil kushuhudia Kombe la dunia. Hapa ni katika mchezo wa ufunguzi kati ya Wenyeji Brazil na Croatia katika uwanja wa Arena Sao Paulo. Hongera wadau kwa kutuwakilisha!

 

9 years ago

Dewji Blog

Barcelona yatwaa Kombe la FIFA Klabu Bingwa Dunia

Football Soccer - River Plate v FC Barcelona - FIFA Club World Cup Final - International Stadium Yokohama, Yokohama - 20/12/15 FC Barcelona celebrate winning the FIFA Club World Cup Final with the trophy Reuters / Thomas Peter Livepic

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Barcelona ya Hispania imetwaa Ubingwa wa FIFA Klabu Bingwa wa Dunia baada ya kuifunga klabu ya River Plate ya Argentina kwa goli 3 kwa bila katika mchezo wa fainali ya mashindano hayo yaliyofanyika nchini Japan.

Katika mchezo huo wa fainali nyota ya Barcelona ilianza kung`aa katika dakika ya 36 baada ya mshambuliaji wake Lionel Messi kuifungia timu hiyo goli la kwanza kwa kuunganisha mpira uliotoka kwa mchezaji mwenzake Neymar na baadae Luiz Suarez...

 

11 years ago

Mwananchi

Kitabia, Kombe la Dunia limerudi nyumbani Brazil

Karibu na Hoteli ya Nosso niliyofikia jijini São Paulo. Napanga foleni ya kulipia bidhaa zangu ndogo ndogo nilizonunua. Ni duka La Mchina. Sijiulizi amefikaje Sao Paulo. Tunajua kuwa Wachina wametapakaa dunia nzima. Mbele yangu amesimama msichana mrembo. Ana nywele maridadi. Mrefu wa kuvutia. Ana nywele za kuvutia. Matiti yake yamesimama vema. Anaonekana kuwa na ngozi laini. Amebeba bidhaa zake na analipa kwa Mchina. Rafiki yangu Mtanzania anayejulikana kwa jina La Tuli aliyeishi hapa kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwalimu Mkenya katika kombe la dunia Brazil

Aden Marwa ameteuliwa kuwa miongoni mwa marefa watakaochezesha michuano ya kombe la dunia Beazil

 

11 years ago

Tanzania Daima

Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil

MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...

 

11 years ago

Michuzi

Siku za kwenda Brazil Kombe la Dunia zinahesabika

FIFA-World-Cup-2014-Brazil Ni siku 100 tu, ni vigumu kuamini kuwa iko karibu. Inaonekana kama jana tu kwamba Brazil imethibitishwa kuwa muandaaji wa FIFA World Cup 2014. Nakumbuka msisimko niliohisi na kuona kuwa nchi yangu inaenda kwenye hatua muhimu ya mpira katika Dunia hii. Hata ingawa mimi sitakuwa uwanjani, lakini nimeanza kupata vipepeo tumboni kama ambavyo nilikuwa nikikaribia mechi kubwa. Baada ya yote kumalizika FIFA World Cup, itakuwa ni ya aina ya mwisho kwa Brazil, tofauti na kujitangaza yenyewe...

 

11 years ago

Dewji Blog

Vijimambo vya Kombe la Dunia Brazil 2014

2014-FIFA-World-Cup-Brazil

Na Eleuteri Mangi-Maelezo

Mashindano ya soka kombe la dunia yanaendelea kunoga na kupamba moto nchini Brazil yakijumuisha jumla ya wachezaji 892 wanaoshiriki mashindano wa mpira wa miguu duniani maarufu “Fifa World Cup” ya mwaka 2014.

Mashindano hayo yamepambwa na majina ya mbalimbali ya wachezaji kutoka nchi zinzoshiriki kinyang’anyiro hicho kwa mwaka huu.

Kwa mujibu wa mtandao wa FIFA, wachezaji wenye majina yenye herufi “M” ndio wanaoongoza kwa idadi kubwa katika michuano hiyo ambao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani