Minaj afanya maandalizi ya ndoa yake
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, ameweka wazi sehemu ambayo atafunga ndoa na mpenzi wake Meek Mill, mwaka 2016.
Wasanii hao wamekuwa kwenye uhusiano kwa mwaka mmoja sasa, hivyo wanatarajia kufunga ndoa mwakani huku Minaj tayari akiweka wazi sehemu sahihi ambayo wataifungia ndoa hiyo.
“Mwaka 2016 ninatarajia kufunga ndoa na Meek Mill, ninaona sehemu sahihi ya kufungia ndoa hiyo ni kanisani au ufukweni.
“Sehemu zote mbili ziko tayari lakini muda ukifika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Dec
Nyimbo 2 za Nicki Minaj zavuja siku chache kabla ya album yake kutoka, moja ni collabo yake na Beyonce (zisikilize)
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Meek Mill, Nick Minaj kufunga ndoa mwakani
NEW YORK, MAREKANI
BAADA ya Meek Mill kumvisha pete mpenzi wake Nick Minaj, wawili hao wamepanga kufunga ndoa mwakani.
Kupitia mtandao wa Instagram, mkali huyo wa hip hop, Minaj alisema kuvishwa pete ni dalili ya harusi kukaribia.
“Baada ya Mill kunivisha pete najua kwamba watu wana maswali mengi ambayo hayana majibu, lakini ukweli ni kwamba hii ni dalili ya harusi kukaribia.
“Nampenda sana Mill na ninaamini ananipenda na ndio maana amenivisha pete, kila kitu kitakuwa hadharani mwakani,...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Ndoa ya Nicki Minaj, Meek Mill yazua mjadala mitandaoni
New York, Marekani
IKIWA zimepita siku chache baada ya rappa machachari kutoka Marekani Meek Mill amvalishe pete ya dhahabu mpenzi wake Nick Minaj kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni wapendanao hao wameibua ‘headline’ kwenye Mtandao wa Kijamii wa Twitter baada ya Nick kuwauliza maswali mashabiki wake juu ya mahali pa kufanyia harusi hiyo akilenga ufukweni au kanisani.
Baada ya Nick, 33, kupost maswali hayo ndani ya muda mchache zaidi ya mashabiki wake 20,000 walitoa maoni...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Minaj amtoa kaka yake jela kwa milioni 200/-
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa muziki wa hip hop nchini Marekani kutoka kundi la Young Money Records, Nick Minaj, amefanikiwa kumtoa kaka yake, Jelani Miraj, kifungoni baada ya kulipa dola 100,000 sawa na zaidi ya Sh milioni 200.
Jelani alipelekwa jela kutokana na kosa la kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12, ambapo alianza kukitumikia kifungo tangu Aprili mwaka huu, lakini msanii huyo alifanikiwa kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kaka yake.
Nick amekuwa akifanya makubwa kwa kaka...
9 years ago
Bongo530 Sep
Nicki Minaj kutayarisha na kuonekana kwenye tamthilia ya maisha yake
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
9 years ago
Bongo517 Dec
Nicki Minaj kutumbuiza Angola licha ya wanaharakati kuipinga show yake
![12327969_468705609983531_2040894811_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12327969_468705609983531_2040894811_n-300x194.jpg)
Nicki Minaj atatumbuiza nchini Angola Jumamosi hii licha ya taasisi ya Human Rights Foundation kuipinga show hiyo.
Minaj amethibitisha show hiyo kwenye Instagram.
“ANGOLA! R u ready for the show?!???! Can’t wait to see u guys! Get your tickets here,” ameandika rapper huyo wa YMCMB.
Baadaye rapper huyo aliandika kwenye Twitter:
“Every tongue that rises up against me in judgement shall be condemned.”
Minaj atatumbuiza kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel,...
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Brazil yatetea maandalizi yake