Minaj amtoa kaka yake jela kwa milioni 200/-
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa muziki wa hip hop nchini Marekani kutoka kundi la Young Money Records, Nick Minaj, amefanikiwa kumtoa kaka yake, Jelani Miraj, kifungoni baada ya kulipa dola 100,000 sawa na zaidi ya Sh milioni 200.
Jelani alipelekwa jela kutokana na kosa la kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12, ambapo alianza kukitumikia kifungo tangu Aprili mwaka huu, lakini msanii huyo alifanikiwa kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kaka yake.
Nick amekuwa akifanya makubwa kwa kaka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Asakwa kwa kumuua kaka yake
WATU wawili wamefariki dunia mkoani Morogoro katika matukio mawili tofauti likiwemo la kijana kumuua kaka yake. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Faustine Shilogile, alisema tukio hilo limetokea juzi, saa 6...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s72-c/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA KWA FAMILIA YA MAREHEMU CHAMPANDA, KAKA YAKE KATIBU MKUU WA TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s640/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/32eddfd1-495c-445e-a9b3-2b29c0ee0d32.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Februari 22, 2020 ametoa pole kwa familia ya Mathew Champanda nyumbani kwa marehemu eneo la Mwanga mjini Kigoma. Marehemu Champanda ambaye ni kaka mkubwa wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania (TFF), Kidao Wilfred (wa pili kulia ) alifriiki dunia Februari 19, 2020 na anatarajiwa kuzikwa leo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P1afYajBhxA3y2zQlAbVFpgNe4eAp0XepO2O346JAzlGRWPOUVr5dak8TMeLOiZgI5-EXMox-RR*l7Ntk6yJlM28hY2LsBso/BACKUWAZI.jpg)
DADA AMUUA KAKA YAKE KWA KISU KISA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YcvMs-3TPiK3AUAj6YKlbo*Hqb0C9Od74Kd75QjRs9nwxh06dEISIAMnzJeLOGn4RdOQZ3N4ZurTVikn1XzACV/e.jpg)
KAKA ADAIWA KUMTOROSHA DADA YAKE KWA MUME
10 years ago
MichuziNMB yadhamini Mkutano wa Serikali za Mitaa kwa Shilingi Milioni 200
NMB imetoa shilingi milioni 150 kwaajili ya kufanikisha mkutano huo na shilingi milioni 50 kwaajili ya ununuzi wa trekta litakalotolewa kama zawadi kwa meya (Mayors Award) na halmashauri iliyofanya vizuri katika Nyanja mbalimbali kama utawala bora na utengenezaji wa miradi ya kiuchumi.
Udhamini huo unaifanya NMB...
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Watu milioni 200 kupoteza ajira kwa mlipuko wa Covid-19
10 years ago
VijimamboTASWIRA NYUMBANI KWA VICKY MT VERNON WAKATI YA MISA YA KUMUOMBEA KAKA YAKE ALIEFARIKI HUKO TANZANIA MWEZI ULIOPITA
PICHA KWA HISANI YA...
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Stephen Brown afungwa jela kisa Nick Minaj
NEW YORK, Marekani
MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Stephen Brown, amejikuta akiswekwa jela miezi minne baada ya kupiga simu polisi akidai msanii mwenzake, Nick Minaj, ametaka kumuua.
Pombe zilimfanya Brown, mwenye miaka 24, apige simu kituo cha polisi na kudai mwanadada Nick Minaj alitaka kumuua, lakini polisi walipofika eneo la tukio wakamkuta akiwa peke yake amelewa.
Kutokana na kitendo hicho cha kuwasumbua polisi, Brown amehukumiwa kifungo cha jela kwa miezi minne.