Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCAA yatamanisha wengi kuwa marubani

USAFIRI wa anga ni miongoni mwa sekta muhimu kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi yoyote duniani. Kwa kuliona hilo, Serikali ya Tanzania ilianzisha Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TCAA yaajiri wakaguzi wa marubani

KATIKA kukabiliana na uhaba wa wakaguzi wa marubani wa ndege, Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeajiri wataalamu watatu wa kada hiyo kwa mwaka 2013. Akizungumza na Tanzania Daima juzi,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Banda la TCAA lawakuna wengi

MAMIA ya wakazi wa maeneo mbalimbali ya Zanzibar wamefurika katika banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kujipatia elimu kuhusiana na masuala ya anga nchini. Akizungumza na Tanzania...

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

11 years ago

Mwananchi

TCAA yahofia biashara ya usafiri wa anga kuwa ngumu

Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini (TCAA) imesema mwaka huu utakuwa mgumu katika biashara ya usafiri wa sekta hiyo kwa sababu ya mfululizo wa ajali za ndege zilizotokea hivi karibuni.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuwa na watoto wengi huchangia umasikini-Utafiti

Ukubwa wa familia unachangia zaidi umaskini nchini, Benki ya Dunia (WB) imeeleza.

 

10 years ago

Mwananchi

Uzuri na ubaya wa CCM kuwa na watangazania wengi

Mpaka sasa, zaidi ya makada 30 wamejitokeza wakitangaza nia zao kutaka kuwania kiti cha urais kupitia CCM.

 

5 years ago

CCM Blog

TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA

Trump at a cabinet meetingHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESRais Donald Trump amesema ni '' ni heshima '' kuwa Marekani ina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya corona duniani.''Ninalitazama suala hili kama heshima fulani, kama jambo zuri kwasababu inamaanisha kuwa vipimo vyetu viko vizuri,'' alieleza akiwa Ikulu ya Marekani.Marekani ina watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000, kwa mujibu wa takwimu zinazokusanywa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins. Nchi inayoshika nafasi ya pili ni...

 

10 years ago

Mwananchi

MZEE YUSUPH: Nasikia raha kuwa na wake wengi

>Unafahamu kama Mzee Yusuph anasikia raha kuwa na wake wengi, huku akihakikisha anawatimizia wote mahitaji yao? Fuatana nami ufahamu mengi zaidi kuhusiana na suala la ndoa kwa nguli huyo wa muziki wa taarabu hasa wenye vionjo vya mahaba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani