Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzuri na ubaya wa CCM kuwa na watangazania wengi

Mpaka sasa, zaidi ya makada 30 wamejitokeza wakitangaza nia zao kutaka kuwania kiti cha urais kupitia CCM.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UZURI NA UBAYA WA MUME WA MTU!

HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Tumekutana tena kwa mara nyingine ili tuweze kupeana mawili matatu yanayohusu uhusiano wa kimapenzi na maisha ndani ya ndoa. Kabla sijaingia chumba cha habari na kuandika makala haya, nilifanya utafiti mdogo kwa kuwashirikisha marafiki, wanafunzi na watu wengine walio na uzoefu wa maisha ya kimapenzi na baadaye kubaini sababu kadhaa zinazowafanya wasichana kupenda waume za watu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uzuri, ubaya wa choo cha kukaa

BAADHI ya watu huwa hawapendi kujadili mambo yanayohusiana na kinyesi kwa kudai ni jambo la siri na aibu. Kwa wanadamu wote tunapozungumzia ‘choo’ huwa tuna maana ya kinyesi, ijapokuwa neno...

 

11 years ago

Mwananchi

Sera ya Taifa ya elimu ya juu ya Tanzania: uzuri na ubaya wake

Leo nahitimisha mfululizo wa makala zilizotoka kwa kipindi cha wiki tano sasa kuhusu uzuri na ubaya wa sera ya elimu ya juu.

 

11 years ago

Mwananchi

Sera ya Taifa ya elimu ya juu ya Tanzania; uzuri na ubaya wake- 2

Tunaendelea kuichambua sera ya elimu ya juu kwa kuangalia maeneo ya upungufu.

 

10 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli

Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2015, kuna watu wanachanganya mambo.Ushabiki unakuwa mkubwa na wakati mwingine watu wanaacha kabisa kufikiri. Ni vyema ufafanuzi ukafanyika, ili twende sawa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi za watangazania CCM ni unafiki, uongo au wameokoka?

Hadi sasa wanachama 38 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamechukua fomu kuomba uteuzi wa kupeperusha bendera ya chama hicho tawala katika nafasi ya urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu.

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

10 years ago

Vijimambo

KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?

Niwiki nyingine tulivu tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba umzima na unaendelea nyema na majukumu yako ya kila siku. Mimi mzima wa afya na namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu.

Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za simu hapo juu naamini suluhisho litapatikana.

Mpenzi msomaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani