Ahadi za watangazania CCM ni unafiki, uongo au wameokoka?
Hadi sasa wanachama 38 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamechukua fomu kuomba uteuzi wa kupeperusha bendera ya chama hicho tawala katika nafasi ya urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Uongo, unafiki na uzandiki wa CCM
INASIKITISHA kuona kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamekuwa mstari wa mbele kuwadanganya wananchi kwamba uendeshaji wa serikali tatu ni ghali kuliko serikali mbili,...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Siasa imegeuzwa kuwa uongo na unafiki
WAKATI tunaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa mwalimu Julius Nyerere, tunakumbuka miongozo mizuri aliyoacha moja ya muongozo huo alisema kwamba ili tuendelee tunahitaji mambo manne: Watu, Ardhi,...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Uzuri na ubaya wa CCM kuwa na watangazania wengi
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Warioba ameukataa unafiki, CCM inaukumbatia
NINAKUMBUKA nilipokuwa mdogo kila tulipokuwa na mchezo wa kandanda na timu nyingine ya mtaani, uwe wa kugombea kikombe au wa kirafiki, tulikuwa tunalishana yamini (kula kiapo) kwa kila mmoja wetu...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM watuhumiana kwa unafiki kila kona
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.
Tahariri ya leo Machi 10, Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.
Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
“CCM Kutumia SERA NA ILANI ZA UONGO: “Lengo Nikubadilisha Imani ya Wapiga Kura”
Asalamu Alaikhum Warahmatullah Wabarakatuhu Ndugu Wazanzibari wenzangu wa Ndani na Nje ya Visiwa Vyetu Adhimu. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Allah (SW) Kwakunipa Uzim na wasia wakuandika makala hii ambayo naamini Inaweza kuwa-amsha Wazanzibari wenzangu […]
The post “CCM Kutumia SERA NA ILANI ZA UONGO: “Lengo Nikubadilisha Imani ya Wapiga Kura” appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Nape; Wanaotaka urais CCM, wapambe wao wanaoneza taarifa za uongo kuadhibiwa
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari, Katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar, kuhusu moja ya maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM, ya kuwataka wanaotaka kuwania urais kupitia CCM na wapambe wao kuacha kueneza taarifa za uongo kwenye vyombo vya habari na kwamba atakayebainika kufanya hivyo atachukulia hatua kali za kinidhamu.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisisitiza jambo katika mkutano huo na waandishi uliofanyika katika Ofisi...
10 years ago
VijimamboCCM HAITARUHUSU WANUNUA URAIS 2015 WAPAMBE WAO WANAOENEZA TAARIFA ZA UONGO KUADHIBIWA