MZEE YUSUPH: Nasikia raha kuwa na wake wengi
>Unafahamu kama Mzee Yusuph anasikia raha kuwa na wake wengi, huku akihakikisha anawatimizia wote mahitaji yao? Fuatana nami ufahamu mengi zaidi kuhusiana na suala la ndoa kwa nguli huyo wa muziki wa taarabu hasa wenye vionjo vya mahaba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Leyla ajigamba kuwa na ‘nywila’ ya mtima wa Mzee Yusuph
10 years ago
CloudsFM18 Feb
Mzee Yusuph kuoa tena mke wa watatu,Wake zake watupiana vijembe mtandaoni
Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito wakitupiana vijembe mtandaoni.
Akipiga stori na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa anatarajia kuoa mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa tayari kila kitu kitakuwa hadharani.
Hivi karibuni wake zake wawili ambao ni Malkia Leila Rashid ambaye pia ni mwimbaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zazyaamfpRRFNg9AW1hTVJPOCLE9Jrb2NN5cPBrX3*pBfA3tjAId7ZAk8nFiMZ0c02bNZ3C8-gDU5rxMcxGHixU/jokate.gif?width=650)
JOKATE: NASIKIA RAHA KUKAA UTUPU NIKIWA CHUMBANI
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi
Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%) wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Kunani Mzee Yusuph na Khadija Kopa?
NA THERESIA GASPER
MANENO ya kujitamba aliyokuwa akiyatoa mwimbaji wa taarabu, Mzee Yusuph kila mara alipokwenda kupokea tuzo usiku wa juzi, yamewapa wasiwasi wadau wa muziki huo wakihoji kwanini ameonyesha kuwadharau baadhi ya waimbaji wenzake wa muziki huo.
Mwimbaji anayedaiwa kuelekezewa maneno hayo ni mkongwe wa siku nyingi, Khadija Kopa ambaye alishadai kwamba aliwahi kuonyesha njia ya kutaka kushirikiana na mwenzake huyo lakini ameonekana kumkwepa bila sababu za msingi.
Wakati Mzee...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Hii ndiyo siri yangu-Mzee Yusuph
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jxGOXV18_ag/Uy2dDGiodxI/AAAAAAAFVnM/DZQ1smKCYtA/s72-c/Dn_Parliament_2803.JPG.jpg)
bunge la kenya laridhia ndoa ya wake wengi, mwanaume halazimiki kushauriana na mkewe kuwa anaoa tena
![](http://1.bp.blogspot.com/-jxGOXV18_ag/Uy2dDGiodxI/AAAAAAAFVnM/DZQ1smKCYtA/s1600/Dn_Parliament_2803.JPG.jpg)
11 years ago
Bongo531 Jul
Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA PROIN PROMOTIONS LIMITED YASAINI MKATABA NA MZEE YUSUPH KWAAJILI YA KUSAMBAZA FILAMU YAKE IITWAYO "NITADUMU NAE"