Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCAA wamtwika zigo Mwakyembe

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe jana alijikuta akitwishwa masuala mazito kutoka kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), ambao walibainisha changamoto nyingi zinazowarudisha nyuma kutekeleza majukumu yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAZIRI WA UCHUKUZI DK.HARRISON MWAKYEMBE AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA)

Waziri wa Uchukuzi  Dk. Harrison Mwakyembe akisaini kitabu cha wageni wakati alipofanya  ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Ofisi  ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi  ya TCAA.Wapili kutoka kulia ni Mwenyekiti wa bodi hiyo Mbwana Mbwana.Kulia ni makamu Mwenyekiti Weggoro Nyamajeje na Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wamtwisha zigo JK

SIKU mbili baada ya mazunguzo baina Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kukubaliana Bunge maalumu lisitishwe Oktoba 4 mwaka huu, Umoja wa Katiba ya Wananchi...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

RC Sadik awatupia zigo madiwani

MKUU wa Mkoa (RC) Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amesema suala la kuliweka jiji hilo katika hali ya usafi halina mjadala kwa sababu mpango huo umetokana na madiwani wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyambui aitupia zigo mikoa

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amevitupia lawama vyama vya mchezo wa Riadha vya Mkoani kwa maandalizi duni ya wanariadha wao ambao wamewakilisha katika mashindano ya...

 

10 years ago

Mwananchi

JK amtwisha zigo Rais mpya

Mwanza. Wafanyakazi jana walimsomea Rais Jakaya Kiwete madai 11 wanayomtaka awatimizie kabla ya kumaliza muda wake Oktoba, lakini mkuu huyo wa nchi amesema ataishia pale atakapoweza na kumuachia mrithi wake kazi ya kushughulikia mengine.

 

9 years ago

Mwananchi

Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete

Wakati majadiliano ya kina yanaendelea visiwani ili kufikia mwafaka wa kuendelea na mchakato wa kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar uliofanyika Oktoba 25 au kurudiwa upya, imeelezwa kuwa suala hilo linaweza kupata ufumbuzi iwapo litashughulikiwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete au Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Kikwete ametupiwa zigo hilo kwa sababu ya wadhifa wake wa uenyekiti wa c

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo: Nilibeba ‘zigo’ la lawama

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda amesema kocha Goran Kopunovic alimpa jukumu zito la kumtaka akadake penalti kama angeshindwa angebebeshwa lawama zaidi.

 

9 years ago

Mtanzania

Vigogo watwishwa zigo Z’bar

Pg 2*Wamo Dk. Salmin Amour, Mwinyi, Amani Karume

*Zitto amtaka Magufuli atangaze hali ya hatari

*Jumuiya ya Madola yaingilia kati

Na Waandishi Wetu, Zanzibar/Dar

JUHUDI za kusaka suluhu kwa ajili ya kutatua mgogoro wa kisiasa wa Zanzibar zinaendelea, baada ya vigogo kadhaa wa kitaifa na kimataifa kuongezwa katika timu ya mazungumzo.

Taarifa kutoka visiwani huko zinasema, katika kufanikisha mchakato huo imeundwa kamati maalumu inayowashirikisha marais wote wastaafu wa Zanzibar kwa lengo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani