Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete
Wakati majadiliano ya kina yanaendelea visiwani ili kufikia mwafaka wa kuendelea na mchakato wa kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar uliofanyika Oktoba 25 au kurudiwa upya, imeelezwa kuwa suala hilo linaweza kupata ufumbuzi iwapo litashughulikiwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete au Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Kikwete ametupiwa zigo hilo kwa sababu ya wadhifa wake wa uenyekiti wa c
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Vigogo watwishwa zigo Z’bar
*Wamo Dk. Salmin Amour, Mwinyi, Amani Karume
*Zitto amtaka Magufuli atangaze hali ya hatari
*Jumuiya ya Madola yaingilia kati
Na Waandishi Wetu, Zanzibar/Dar
JUHUDI za kusaka suluhu kwa ajili ya kutatua mgogoro wa kisiasa wa Zanzibar zinaendelea, baada ya vigogo kadhaa wa kitaifa na kimataifa kuongezwa katika timu ya mazungumzo.
Taarifa kutoka visiwani huko zinasema, katika kufanikisha mchakato huo imeundwa kamati maalumu inayowashirikisha marais wote wastaafu wa Zanzibar kwa lengo la...
9 years ago
Mtanzania30 Dec
CUF wamtwisha zigo Magufuli
NA MWANDISHI WETU
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitaendelea kusimamia na kulinda chaguo la wananchi katika Uchaguzi wa Rais wa Zanzibar uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Pamoja na hali hiyo, CUF imesema bado inatoa nafasi kwa Rais Dk. John Magufuli kutokana na jitihada anazozifanya katika kuupatia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Uchaguzi wa Zanzibar ambao matokeo yake yamefutwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini...
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Magufuli amtishwa zigo waziri wa ujenzi ajaye
NA BAKARI KIMWANGA, KATAVI
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema ikiwa atafanikiwa kuchaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataunda Baraza la Mawaziri ambalo litatakiwa kufanya kazi zaidi yake.
Pia ametangaza kumpiga kitanzi Waziri wa Ujenzi atakayemteua alisema kuwa atatakiwa kwenda na kasi katika utendaji kuliko yeye.
Amesema ili kuhakikisha maendeleo ya kweli yanapatikana Serikali ya awamu ya tano chini yake, itakuwa na kazi ya kupeleka maendeleo...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Kikwete abebeshwa zigo la mawaziri dhaifu
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Ahadi 5 za Kikwete zigo kwa rais ajaye.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/_Df_771Rw3iji6j_Al2d3yU4pt2T1zzbea2soH3hk8dHlIt3iFonJDANF3fAHm3RsiTm01mSg-goe8pdPj_cq-o57Fm-R0DeWuzPQdY5R_G6xw=s0-d-e1-ft#http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-02Oct2015.png)
Rais Jakaya Kikwete.
Wakati zikiwa zimebaki siku 22 kuanzia leo kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, imebainika kuwa Rais ajaye atakuwa na mzigo mzito wa kutekeleza ahadi kadhaa zilizowahi kutolewa na serikali ya Rais Jakaya Kikwete anayetarajiwa kumaliza muda wake baada ya uchaguzi huo utakaompata mrithi wake.Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa, licha ya mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali katika kipindi cha miaka 10 ya serikali iliyopo madarakani, bado kuna ahadi...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Z’bar yaanza kumponza Magufuli
WIKI iliyopita Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (MCC) liliionya Tanzania kuwa mgogoro
Ahmed Rajab
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Magufuli atakiwa kushughulikia Z’bar
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
RAIS Dk. John Magufuli, ameombwa kutoa nafasi kubwa zaidi ya mazungumzo kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar, ili kujali na kuthamini uamuzi wa wananchi walioufanya wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Ombi hilo lilitolewa juzi na Mbunge wa Viti Maalumu Wilaya ya Magharibi A Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Raisa Mussa wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Mgogoro huo umekuja baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Maimamu Z’bar wampongeza Rais Magufuli
JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (Jumaza) kwa kushirikiana na taasisi za Kiislamu wamepongeza juhudi zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kuleta suluhu ya kudumu ya Zanzibar katika mazungumzo yanayowashirikisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa na marais wastaafu.
9 years ago
IPPmedia27 Sep
Magufuli boat set for Z`bar route
IPPmedia
A new ferry boat whose services were halted following its failure to attract passengers going to Bagamoyo from Dar es Salaam, and vice versa, may now be scheduled for longer and more turbulent cruises across the 100-kilometre Zanzibar Channel to the ...
UN rep clarifies expatriate deportationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 4