Magufuli atakiwa kushughulikia Z’bar
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
RAIS Dk. John Magufuli, ameombwa kutoa nafasi kubwa zaidi ya mazungumzo kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar, ili kujali na kuthamini uamuzi wa wananchi walioufanya wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Ombi hilo lilitolewa juzi na Mbunge wa Viti Maalumu Wilaya ya Magharibi A Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Raisa Mussa wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Mgogoro huo umekuja baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AUTEKA MJI WA KAHAMA,AAHIDI KUSHUGHULIKIA MIGOGORO YA MADEREVA


10 years ago
Vijimambo
MAGUFULI AUTEKA MJI WA KAHAMA, AAHIDI KUSHUGHULIKIA MIGOGORO YA MADEREVA


10 years ago
Michuzi
MAGUFULI APIGWA NA BUTWAA NYOMI LA GEITA, AAHIDI KUSHUGHULIKIA MATATIZO YA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

Mgombea Urais Huyo amewaambia wananchi wa Geita kuwa mara atakapoingia Ikulu, moja ya changamoto anazotarajiwa kuzipa kipaumbele ni pamoja na suala la kutatua mgogoro wa wachimbaji madini wadogo wadogo.
Magufuli ameasema...
10 years ago
Habarileo04 Nov
Magufuli atakiwa kuzuia baa wakati wa kazi
WAKAZI wa Jiji la Arusha wamemtaka Rais Mteule, Dk John Magufuli kuhakikisha anasimamia utekelezaji na uwajibikaji kwa kila Mtanzania na kupiga vita baa na vijiwe vya kahawa kufunguliwa wakati wa kazi.
5 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AFARIJIKA NA HATUAZA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO KATIKA BENKI YA WALIMU (MWALIMU COMMERCIAL BANK)
Rais ametoa kauli hiyo Ijumaa Juni 5, 2020 wakati akihutubia mkutano mkuu wa uchaguzi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.“Najua chama hiki kina mali na rasilimali mbalimbali, lakini zote hizo ni mali za wanachama hivyo basi viongozi hawana budi kuhakikisha mali na rasilimali za...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Z’bar yaanza kumponza Magufuli
WIKI iliyopita Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (MCC) liliionya Tanzania kuwa mgogoro
Ahmed Rajab
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete
9 years ago
TheCitizen23 Dec
Provide leadership to Z’bar, Magufuli asked
10 years ago
IPPmedia27 Sep
Magufuli boat set for Z`bar route
IPPmedia
A new ferry boat whose services were halted following its failure to attract passengers going to Bagamoyo from Dar es Salaam, and vice versa, may now be scheduled for longer and more turbulent cruises across the 100-kilometre Zanzibar Channel to the ...
UN rep clarifies expatriate deportationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 4