Magufuli atakiwa kuzuia baa wakati wa kazi
WAKAZI wa Jiji la Arusha wamemtaka Rais Mteule, Dk John Magufuli kuhakikisha anasimamia utekelezaji na uwajibikaji kwa kila Mtanzania na kupiga vita baa na vijiwe vya kahawa kufunguliwa wakati wa kazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mkandarasi atakiwa kumaliza barabara kwa wakati
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya J.V anayejenga barabara ya Makutano-Nyamuswa-Ikoma Gate, sehemu ya Makutano-Natta kilomita 50, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha mradi huo...
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO ATANGULIZA MSAMAHA WAKATI AKIMIMINIA SIFA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI KWA UTENDAJI KAZI WAKE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ameomba msamaha ili kutoa ushuhuda ushuhuda wake kuhusu Rais Dk.John Magufuli ambapo amesema Baba huyu(Dk.Magufuli) ni kiongozi mwenye maono na uwezo mkubwa.
Aidha, ana kipaji cha hali ya juu cha kufanya yasiyowezekana na ni kiongozi ambaye anafahamu vema kuwa ili nchi ifanikiwe kuleta mabadiliko chanya ni lazima kuvunja kabisa...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-x3CLdR501CA/VYwP-E1doxI/AAAAAAAACQE/xCaqG1sHyew/s72-c/Onion-peeled-and-crying.jpg)
NAMNA YA KUZUIA KUTOKWA NA MACHOZI WAKATI WA KUKATA VITUNGUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-x3CLdR501CA/VYwP-E1doxI/AAAAAAAACQE/xCaqG1sHyew/s400/Onion-peeled-and-crying.jpg)
Ni kitu kilichowazi kwa kila mtu hususani wale wanaojihusisha na swala zima la mapishi kuhusu kutokwa na machozi wakati wa kukata kitunguu. Wataalam wa mambo wanadai kwamba ukikata kitunguu huku unatafuna BIG G kuna uwezekano mkubwa usitokwe na machozi na hata kama yatatoka ni kwa kiwango kidogo ukilinganisha na ukifanya zoezi hilo bila kutafuna BIG G.
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide...
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Magufuli atakiwa kushughulikia Z’bar
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
RAIS Dk. John Magufuli, ameombwa kutoa nafasi kubwa zaidi ya mazungumzo kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar, ili kujali na kuthamini uamuzi wa wananchi walioufanya wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Ombi hilo lilitolewa juzi na Mbunge wa Viti Maalumu Wilaya ya Magharibi A Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Raisa Mussa wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Mgogoro huo umekuja baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya...
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Mkandarasi wa usafirishaji umeme atakiwa kumaliza kazi ifikapo Aprili 2016.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (kushoto) akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma kabla ya kuanza ziara ya kukagua miundombinu ya usafirishaji umeme, miradi ya umeme vijijini pamoja na shughuli za uchimbaji wa madini mkoani humo. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kulia) akizungumza na Meneja Mradi Ujenzi wa vituo vya kupoozea umeme katika mradi wa Miundombinu ya...
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: DRC kufunga mji wa Kinshasa kuzuia maambukizi wakati
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dqeF1zPoYww/VoiOL8C83yI/AAAAAAAIP_s/rFjE_6F4kXs/s72-c/acb4cb83-7e8a-4b48-b4ab-950ff1496751.jpg)
Mkandarasi wa miundombinu ya usafirishaji umeme atakiwa kumaliza kazi ifikapo Aprili 2016.
10 years ago
Mwananchi07 Jun
USIA NKOMA:Wakati wa kazi ni kazi
9 years ago
Bongo Movies19 Aug
Hatuwezi Kuzuia Uharamia wa Kazi za Wasanii- Ernest
MSHINDI wa tuzo ya East Afrika kupitia filamu yake ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon, ameweka wazi kwamba haiwezekani kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hatuna sheria ya kufanya hivyo.
Napoleon alisema kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa Tanzania itaendelea kuleta vilio kwa wasanii wake hadi mifumo itakaporekebishwa na sheria zikatungwa.
“Huo ndio ukweli wala tusidanganyane, hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hakuna sheria za kuzuia uharamia huo hivyo kila mtu...