Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIA NKOMA:Wakati wa kazi ni kazi

Usia Nkoma ni miongoni mwa wanawake wenye mchango mkubwa katika tasnia ya habari. Licha ya kuwa mwandishi wa habari, amekuwa mwalimu wa wanahabari wengi nchini. Hivi sasa anafanya kazi Umoja wa Mataifa, akiwa afisa habari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Magufuli atakiwa kuzuia baa wakati wa kazi

WAKAZI wa Jiji la Arusha wamemtaka Rais Mteule, Dk John Magufuli kuhakikisha anasimamia utekelezaji na uwajibikaji kwa kila Mtanzania na kupiga vita baa na vijiwe vya kahawa kufunguliwa wakati wa kazi.

 

5 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF AWATAKA WATUMISHI KUZINGATIA UTII WAKATI WA KAZI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewaasa Watumishi wachanga na wale wanaoendelea na Majukumu  yao kwa sasa katika Taasisi za Umma na zile Binafsi kuzingatia kwa kina suala la Utii kwenye utekelezaji wa Kazi za kuhudumia Jamii mahali popote pale.
Alisema Utii ndio dhana nzito, sahihi na inayobeba ngao kubwa kwa Mtumishi ye yote na matokeo yake hujikuta akipata fursa nyingi zinazomuwezesha kuheshimika sambamba na kupanda daraja katika maeneo yake ya Kazi.
Balozi Seif Ali...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI

Na Ripota wetu – Morogoro Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, amefanya ziara mkoani Morogoro na kumwagiza Mkandarasi, Kampuni ya State Grid, anayetekeleza Mradi wa Umeme Vijijini, mkoani humo kumaliza kazi kwa wakati. Mgalu alilazimika kufanya ziara hiyo baada ya kupokea malalamiko ya kusuasua kwa Mradi husika ambapo aliwaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kumsimamia Mkandarasi huyo ili kuhakikisha anakamilisha kazi kwa muda...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yasisitiza matumizi ya ya vyeti halisi wakati wa uombaji wa kazi Sekretariati ya Ajira

Kaimu Katibu

Naibu Katibu Kitengo cha Udhibiti na Ubora toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Humphrey Mniachi akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo Pichani)Jinsi wanavyoshirikiana na Vyombo vingine serikalini katika Mchakato wa Ajira,wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi Hiyo Bi. Riziki Abraham.

rIZIKI Abraham

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Riziki...

 

5 years ago

Michuzi

REA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI




  Mjumbe wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Henry Mwimbe (kulia) akikagua vifaa vya ujenzi wa umeme vya mradi huo. Mjumbe wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Henry Mwimbe (kushoto) akikagua vifaa vya ujenzi wa Umeme vya mradi wa Kampuni ya kusambaza Umeme ya Ccce Co Ltd inayo sambaza umeme vijiji vya Wembere na Ntwike wilayani Iramba mkoani Singida. Kulia ni Wafanyakazi wa kampuni hiyo. Raia wa China Wafanyakazi wa kampuni hiyo wanao tekeleza mradi huo. Majadiliano kabla ya kwenda kukagua...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA BASI HAPO FERRY MAGOGONI KWANINI HAKIFANYI KAZI NA WAKATI KIMEKWISHA

NAOMBA NISAIDIE UNIWEKEE OMBI LANGU KWA WAHUSIKA WAZIRI HUSIKA NA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA MHESHIMIWA RAISI AISOME YAHUSUYO KITUO CHA BASI CHA HAPA FERRY KWANINI HAKIFUNGULIWI AU HAKIFANYI KAZI, MATATIZO TUNAYOYAPATA NI MAKUBWA MNO PINDI TUNAPO VUKA HASWA WAKATI HUU WA MVUA GARI ZINAKOTOKA NILAZIMA ZIRUDI ZINAKOTOKEA NA LINAHUSISHA NA KUPITA IKULU KWA KUTOKA NA KURUDI AMBAKO PIA IKULU IMESHAWEKA ASKARI PALE WAKULINDA AMBAYE MKAZI WA KIGAMBONI ANAJUA MADHARA YA IKULU NA WALINZI NINI...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja

RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.

Yahya Msangi

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA ANGA LA CCM LAMALIZA KAZI TABORA,WANANCHI WAAHIDI KUCHAGUA "KAZI TU"

FieldMashall Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa Sikonge hii leo Mkoani Tabora wakati wa Mkutano wa Kampeni wa Chama Cha Mapinduzi,Mwigulu Nchemba amewasisitiza Wananchi wa Sikonge Kuachana na siasa za Makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi,"Wananchi wote,WanaCCM wote tuunganishe nguvu zetu kukipa Ushindi chama cha Mapinduzi,Tuunganishe nguvu kuhakikisha tunapata Mbunge wa CCM atakayeweza kutatua Matatizo ya Tumbaku hapa Sikonge"Mbali na hilo ,Mwigulu Nchemba ameendelea kusisitiza...

 

10 years ago

Bongo Movies

KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker

Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya  Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.

Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.

Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani