USIA NKOMA:Wakati wa kazi ni kazi
Usia Nkoma ni miongoni mwa wanawake wenye mchango mkubwa katika tasnia ya habari. Licha ya kuwa mwandishi wa habari, amekuwa mwalimu wa wanahabari wengi nchini. Hivi sasa anafanya kazi Umoja wa Mataifa, akiwa afisa habari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Nov
Magufuli atakiwa kuzuia baa wakati wa kazi
WAKAZI wa Jiji la Arusha wamemtaka Rais Mteule, Dk John Magufuli kuhakikisha anasimamia utekelezaji na uwajibikaji kwa kila Mtanzania na kupiga vita baa na vijiwe vya kahawa kufunguliwa wakati wa kazi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Iq-JyZAS-7o/XlO1HAOl1uI/AAAAAAALfC4/uXKzR0YAxbsglmEosJBw8HmtWsSS-w2EwCLcBGAsYHQ/s72-c/244.jpg)
BALOZI SEIF AWATAKA WATUMISHI KUZINGATIA UTII WAKATI WA KAZI
Alisema Utii ndio dhana nzito, sahihi na inayobeba ngao kubwa kwa Mtumishi ye yote na matokeo yake hujikuta akipata fursa nyingi zinazomuwezesha kuheshimika sambamba na kupanda daraja katika maeneo yake ya Kazi.
Balozi Seif Ali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-khdrmxpc_Vo/Xqp52dPfAEI/AAAAAAALonc/TFEPUabPp-kG9goIoTTxkcRZXQZQOa28ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yasisitiza matumizi ya ya vyeti halisi wakati wa uombaji wa kazi Sekretariati ya Ajira
Naibu Katibu Kitengo cha Udhibiti na Ubora toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Humphrey Mniachi akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo Pichani)Jinsi wanavyoshirikiana na Vyombo vingine serikalini katika Mchakato wa Ajira,wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi Hiyo Bi. Riziki Abraham.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Riziki...
5 years ago
MichuziREA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI
10 years ago
VijimamboKITUO CHA BASI HAPO FERRY MAGOGONI KWANINI HAKIFANYI KAZI NA WAKATI KIMEKWISHA
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.
Yahya Msangi
9 years ago
Michuzi27 Sep
JESHI LA ANGA LA CCM LAMALIZA KAZI TABORA,WANANCHI WAAHIDI KUCHAGUA "KAZI TU"
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/vRUyt5gK-lCGtpsTfui9k6Tyahr2nOjql4RT86g2VPgldzX6syMGsuR_rv9bzQz5SsP4eCpL2ouWYUBhDJ3VaDNbgbPK8GAj_8pPI1Vvz6Cknx27tbnn9gOjgG20YYecxXzNLiWr6mp16J10B83TPlkLxlL_EGKUWc17b8FEyaAC5QzJgJrxDTeHAaVobf21vtHIbB7ALrHdm8SHNXhmDR0LPaXq5tF-JLAJrkZDW41BjzXQ=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12043167_429722983896602_2289722885655738355_n.jpg?oh=802e9123e3ea8af0b46fb4534d18298c&oe=5690AF24)
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...