KITUO CHA BASI HAPO FERRY MAGOGONI KWANINI HAKIFANYI KAZI NA WAKATI KIMEKWISHA
NAOMBA NISAIDIE UNIWEKEE OMBI LANGU KWA WAHUSIKA WAZIRI HUSIKA NA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA MHESHIMIWA RAISI AISOME YAHUSUYO KITUO CHA BASI CHA HAPA FERRY KWANINI HAKIFUNGULIWI AU HAKIFANYI KAZI, MATATIZO TUNAYOYAPATA NI MAKUBWA MNO PINDI TUNAPO VUKA HASWA WAKATI HUU WA MVUA GARI ZINAKOTOKA NILAZIMA ZIRUDI ZINAKOTOKEA NA LINAHUSISHA NA KUPITA IKULU KWA KUTOKA NA KURUDI AMBAKO PIA IKULU IMESHAWEKA ASKARI PALE WAKULINDA AMBAYE MKAZI WA KIGAMBONI ANAJUA MADHARA YA IKULU NA WALINZI NINI...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 May
Sadiki aingilia kati ujenzi kituo cha basi
9 years ago
Michuzi20 Dec
NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA KITUO CHA AFYA MIWANI KUONA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO KITUONI HAPO.
![x5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x5.jpg)
![x4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x4.jpg)
![x6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x6.jpg)
11 years ago
Habarileo13 Dec
Basi laua watu 12 papo hapo
WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 90 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Korogwe, Tanga kwenda Dar es Salaam kuacha njia na kupinduka. Ajali hiyo ilitokea jana saa 1.30 asubuhi kwenye barabara kuu ya Segera-Chalinze katika kijiji cha Kwalaguru kata ya Kwedizinga wilayani hapa.
10 years ago
GPL9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LLmS8u3jP2o/U2K4r3E1w-I/AAAAAAAFef8/bNkK0DNiUcI/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Wananchi waomba Kituo cha Afya Simambwe kufanya kazi saa 24
![](http://3.bp.blogspot.com/-LLmS8u3jP2o/U2K4r3E1w-I/AAAAAAAFef8/bNkK0DNiUcI/s1600/unnamed+(9).jpg)
Kauli za ombi hilo zimetolewa hivi karibuni kwa nyakati tofauti na wananchi hao walipokuwa wakizungumza na mwandishi wa habari hizi katika vijiji vyao alipowatembelea kuangalia changamoto anuai za huduma za kijamii vijijini Kata ya Tembela.
Mwenyekiti wa Kijiji cha...
10 years ago
Habarileo24 Jan
Kivuko cha Mv Magogoni chaogopesha abiria
BAADHI ya wakazi wa Kigamboni wanaotumia kivuko cha Mv Magogoni wameiomba serikali kukifanyia marekebisho kivuko hicho ambacho kimekuwa kikipata hitilafu mara kwa mara na kutishia maisha ya abiria wake.
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wizara: Kivuko cha Mv Magogoni ni salama
WIZARA ya Ujenzi imesisitiza kuwa kivuko cha Mv Magogoni jijini Dar es Salaam ni salama kwa kuvusha abiria na magari, kati ya upande wa Magogoni na Kigamboni.