Hatuwezi Kuzuia Uharamia wa Kazi za Wasanii- Ernest
MSHINDI wa tuzo ya East Afrika kupitia filamu yake ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon, ameweka wazi kwamba haiwezekani kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hatuna sheria ya kufanya hivyo.
Napoleon alisema kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa Tanzania itaendelea kuleta vilio kwa wasanii wake hadi mifumo itakaporekebishwa na sheria zikatungwa.
“Huo ndio ukweli wala tusidanganyane, hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hakuna sheria za kuzuia uharamia huo hivyo kila mtu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Ernest Napoleon: Hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii
NA FESTO POLEA
MSHINDI wa tuzo ya East Afrika kupitia filamu yake ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon, ameweka wazi kwamba haiwezekani kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hatuna sheria ya kufanya hivyo.
Napoleon alisema kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa Tanzania itaendelea kuleta vilio kwa wasanii wake hadi mifumo itakaporekebishwa na sheria zikatungwa.
“Huo ndio ukweli wala tusidanganyane, hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hakuna sheria za kuzuia uharamia huo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RR-aBPwVDU8/VTJgSBJABBI/AAAAAAAHR1I/Ny3HiJeP8IE/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
hafla ya ugawaji wa Mirabaha kwa Wabunifu na wasanii Zanzibar - Balozi Seif aonya walaghai wa kazi za wasanii
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alionya kwamba wananchi wanalazimika kujenga utamaduni wa kuthamini kazi za wabunifu na wasanii kwa kuona fahari kuzilipia bila ya shuruti pale wanapozitumia jambo ambalo ni uungwana na kinyume chake inahesabika kuwa ni wizi. Alisema Serikali kupitia Ofisi ya Hakimiliki, Bodi ya Hakimiliki na Jumuiya ya Hakimiliki Zanzibar { COSOZA } itaendelea kusimamia kazi za wabunifu na wasanii ili kuona kuwa maslahi,...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Magufuli atakiwa kuzuia baa wakati wa kazi
WAKAZI wa Jiji la Arusha wamemtaka Rais Mteule, Dk John Magufuli kuhakikisha anasimamia utekelezaji na uwajibikaji kwa kila Mtanzania na kupiga vita baa na vijiwe vya kahawa kufunguliwa wakati wa kazi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c3y6OoNNacc/Xk1EikRxmlI/AAAAAAALeXA/6fk0FpKwg5ouyBo7h3mhclOR0kDUO1VqACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YASHINDWA KUSOMA HUKUMU YA KESI YA KUZUIA POLISI KUFANYA KAZI INAYOMKABILI MKURUGENZI JAMII FORUMS
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa mara nyingine tena imeshindwa kusoma hukumu ya kesi ya kuzuia Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi, inayomkabili, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forums Maxence Melo na mwenzake Micke William kwa sababu Hakimu aliyesikiliza kesi hiyo leo amepata udhuru.
Kwa mara ya kwanza kesi hiyo ilipangwa kutolewa hukumu Novemba 26, mwaka 2019 lakini iliahirishwa kutokana na Hakimu kutomaliza kuandaa hukumu na kupanga...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HiyJYbIaoJs/Vdb9vqZnW5I/AAAAAAAHyyk/yB5bo1DRrCs/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8hkfVJyu5Hw/Vdb9tG-qEPI/AAAAAAAHyx0/8a7-6ZjEwzE/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-87WVBfJhyzU/Vdb9vJCOu7I/AAAAAAAHyyY/EAT-SmRra4s/s640/1C.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A1NfACf-qds/Vo0Sdu9CH0I/AAAAAAADEkU/0QeMUPJnrzk/s72-c/images.png)
TRA KUPAMBANA NA WIZI WA KAZI ZA WASANII
![](http://3.bp.blogspot.com/-A1NfACf-qds/Vo0Sdu9CH0I/AAAAAAADEkU/0QeMUPJnrzk/s640/images.png)
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema itaendelea kupambana na wale wote watakaogundulika kwa wizi wa kazi za sanaa.
Agizo hilo limetolewa na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari na kueleza kuwa wapo katika operesheni ya kukamata wezi wa kazi za sanaa .
"Ipo kamati ambayo inajumuisha wadau kama Bodi ya Filamu, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na COSOTA ikishirikiana na Jeshi la Polisi katika...