RAIS MAGUFULI AFARIJIKA NA HATUAZA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO KATIKA BENKI YA WALIMU (MWALIMU COMMERCIAL BANK)
RAIS Dkt. John Pombe Magufuli ameeleza kufarijika kwake kutokana na changamoto zilizokuwa zikiihusu benki ya Walimu (Mwalimu Commercial Bank plc) sasa zimeanza kushughulikiwa.
Rais ametoa kauli hiyo Ijumaa Juni 5, 2020 wakati akihutubia mkutano mkuu wa uchaguzi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.“Najua chama hiki kina mali na rasilimali mbalimbali, lakini zote hizo ni mali za wanachama hivyo basi viongozi hawana budi kuhakikisha mali na rasilimali za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zLgY_Uq-Ajg/XsPNeXDkutI/AAAAAAALqxM/Y35RBqdzE24S0eX37-wvipDMXnP06hJ_ACLcBGAsYHQ/s72-c/cba2.jpg)
Benki ya CBA (Commercial Bank of Africa (Tanzania) yatoa msaada wa Matanki ya Maji kwa Hospitali za Umma jijini Dar es salaam.
Akikabidhi mchango huo Afisa Mtendaji Mkuu wa CBA, Gift Shoko amesema msaada huo ni sehemu ya hatua zilizochukuliwa na CBA kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na kusambaa kwa COVID-19 nchini Tanzania.
"Commercial...
10 years ago
Bongo Movies17 Jun
Rose Ndauka Atoa Somo Kwa Wateja Wa DCB Commercial Bank Plc Katika Filamu Desire to Succeed
Filamu ya Kuelimisha jamii Inayojulikana kama DESIRE TO SUCCEED (HAMU YA MAFANIKIO) kuzinduliwa Siku ya Jumamosi tarehe 25 Juni 2015, Saa 12.00 Jioni katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX Dar Free Market.
MWIGIZAJI Nyota katika tasnia ya filamu Rose Ndauka pamoja na wasanii wengine wakali katika tasnia ya filamu wameshiriki katika sinema maalum kwa ajili ya kuelimisha jamii kuhusu huduma za Benki ya DCB Commercial Bank ambapo wateja wa Benki hiyo na wateja wapya watatambua huduma na faida...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s72-c/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO MKUU UCHAGUZI WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA CWT KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s640/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f994c205-9286-4e75-90d6-eda3022ac964.jpg)
5 years ago
MichuziSERIKALI YAENDELEA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZINAZOJITOKEZA MIPAKANI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge ameyasema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania Nchini Zambia Mhe. Benson Keith Chali ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
10 years ago
VijimamboSERIKALI YAZINDUA KAMATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA USALAMA ZA WATU WENYE UALBINO
10 years ago
MichuziSERIKALI YAZINDUA KAMATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA USALAMA ZA WATU WENYE UALBINO
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3H9CbNacY84/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c1_LUxTC2to/VlqW-rhigOI/AAAAAAAII4E/lFs1ch9sLs0/s72-c/b1a22d93-e27f-4f02-bf3c-b0e9fcdcf368.jpg)
Waziri Mkuu aipongeza benki ya walimu kujiorodhesha katika Soko la hisa la Dar es salaam -DSE
![](http://1.bp.blogspot.com/-c1_LUxTC2to/VlqW-rhigOI/AAAAAAAII4E/lFs1ch9sLs0/s640/b1a22d93-e27f-4f02-bf3c-b0e9fcdcf368.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wpfzOdEXhkg/VlqW-vHJ8fI/AAAAAAAII4A/habwMb1Fliw/s640/db9e2271-d2c6-434a-aa17-c8e74bc04224.jpg)