Z’bar yaanza kumponza Magufuli
WIKI iliyopita Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (MCC) liliionya Tanzania kuwa mgogoro
Ahmed Rajab
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Sare kumponza Diamond?
MSANII nyota wa muziki wa Bongo Flava nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ huenda akaingia matatani baada ya juzi kupanda jukwaani kutumbuiza katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 akiwa amevaa sare...
9 years ago
Habarileo19 Nov
Ahadi ya Magufuli yaanza kutekelezwa
MSAJILI wa Hazina ametoa siku 30 kuanzia jana kwa wawekezaji wote walionunua viwanda na mashamba yaliyokuwa miliki ya serikali, kuwasilisha taarifa za sasa za utekelezaji wa masharti ya mikataba yao vinginevyo, serikali itarejesha umiliki wake.
9 years ago
Habarileo23 Nov
Kasi ya Magufuli yaanza kuitikiwa
KASI ya Rais John Magufuli imeendelea kutikisa idara na taasisi mbalimbali za serikali kutokana na mchakamchaka miongoni mwa watendaji na wasimamizi wanaoendelea kuasa watumishi walio chini yao, kutii falsafa ya ‘Hapa Kazi Tu’ vinginevyo watajiondoa kwenye mfumo.
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Magufuli atakiwa kushughulikia Z’bar
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
RAIS Dk. John Magufuli, ameombwa kutoa nafasi kubwa zaidi ya mazungumzo kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar, ili kujali na kuthamini uamuzi wa wananchi walioufanya wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Ombi hilo lilitolewa juzi na Mbunge wa Viti Maalumu Wilaya ya Magharibi A Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Raisa Mussa wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Mgogoro huo umekuja baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete
9 years ago
Habarileo07 Jan
Maimamu Z’bar wampongeza Rais Magufuli
JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (Jumaza) kwa kushirikiana na taasisi za Kiislamu wamepongeza juhudi zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kuleta suluhu ya kudumu ya Zanzibar katika mazungumzo yanayowashirikisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa na marais wastaafu.
9 years ago
IPPmedia27 Sep
Magufuli boat set for Z`bar route
IPPmedia
A new ferry boat whose services were halted following its failure to attract passengers going to Bagamoyo from Dar es Salaam, and vice versa, may now be scheduled for longer and more turbulent cruises across the 100-kilometre Zanzibar Channel to the ...
UN rep clarifies expatriate deportationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 4
9 years ago
TheCitizen23 Dec
Provide leadership to Z’bar, Magufuli asked
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Shein amweleza Rais Magufuli hatima ya Z’bar