Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Z’bar yaanza kumponza Magufuli

WIKI iliyopita Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (MCC) liliionya Tanzania kuwa mgogoro

Ahmed Rajab

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sare kumponza Diamond?

MSANII nyota wa muziki wa Bongo Flava nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ huenda akaingia matatani baada ya juzi kupanda jukwaani kutumbuiza katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 akiwa amevaa sare...

 

9 years ago

Habarileo

Ahadi ya Magufuli yaanza kutekelezwa

MSAJILI wa Hazina ametoa siku 30 kuanzia jana kwa wawekezaji wote walionunua viwanda na mashamba yaliyokuwa miliki ya serikali, kuwasilisha taarifa za sasa za utekelezaji wa masharti ya mikataba yao vinginevyo, serikali itarejesha umiliki wake.

 

9 years ago

Habarileo

Kasi ya Magufuli yaanza kuitikiwa

KASI ya Rais John Magufuli imeendelea kutikisa idara na taasisi mbalimbali za serikali kutokana na mchakamchaka miongoni mwa watendaji na wasimamizi wanaoendelea kuasa watumishi walio chini yao, kutii falsafa ya ‘Hapa Kazi Tu’ vinginevyo watajiondoa kwenye mfumo.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli atakiwa kushughulikia Z’bar

Tanzania's Works Minister John Magufuli addresses delegates after the ruling party CCM elected him as the presidential candidate for the October 25 election in the capital DodomaNA OSCAR ASSENGA, TANGA

RAIS Dk. John Magufuli, ameombwa kutoa nafasi kubwa zaidi ya mazungumzo kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar, ili kujali na kuthamini uamuzi wa wananchi walioufanya wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Ombi hilo lilitolewa juzi na Mbunge wa Viti Maalumu Wilaya ya Magharibi A Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Raisa Mussa wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa.

Mgogoro huo umekuja  baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete

Wakati majadiliano ya kina yanaendelea visiwani ili kufikia mwafaka wa kuendelea na mchakato wa kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar uliofanyika Oktoba 25 au kurudiwa upya, imeelezwa kuwa suala hilo linaweza kupata ufumbuzi iwapo litashughulikiwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete au Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Kikwete ametupiwa zigo hilo kwa sababu ya wadhifa wake wa uenyekiti wa c

 

9 years ago

Habarileo

Maimamu Z’bar wampongeza Rais Magufuli

JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (Jumaza) kwa kushirikiana na taasisi za Kiislamu wamepongeza juhudi zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kuleta suluhu ya kudumu ya Zanzibar katika mazungumzo yanayowashirikisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa na marais wastaafu.

 

9 years ago

IPPmedia

Magufuli boat set for Z`bar route


Magufuli boat set for Z`bar route
IPPmedia
A new ferry boat whose services were halted following its failure to attract passengers going to Bagamoyo from Dar es Salaam, and vice versa, may now be scheduled for longer and more turbulent cruises across the 100-kilometre Zanzibar Channel to the ...
UN rep clarifies expatriate deportationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 4

 

9 years ago

TheCitizen

Provide leadership to Z’bar, Magufuli asked

The political landscape in Zanzibar has since the annulment of the isles election results two months ago been shrouded in total silence and complete secrecy.

 

9 years ago

Mwananchi

Shein amweleza Rais Magufuli hatima ya Z’bar

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk Ali Mohamed Shein yaliyolenga kupatiwa mwenendo wa utatuzi wa mkwamo wa kisiasa ulitokea baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani