Shein amweleza Rais Magufuli hatima ya Z’bar
Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk Ali Mohamed Shein yaliyolenga kupatiwa mwenendo wa utatuzi wa mkwamo wa kisiasa ulitokea baada ya Uchaguzi Mkuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo07 Jan
Shein: Mimi bado rais halali Z’bar
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amesema yeye bado ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar huku akiwataka wasioamini katiba hiyo, wapeleke shauri hilo Mahakama Kuu ya Zanzibar yenye uwezo pekee wa kutafsiri katiba.
5 years ago
Michuzi
Rais Magufuli akutana na Rais Shein, Mzee Mangula na Dkt. Bashiru, Ikulu Chamwino


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Maimamu Z’bar wampongeza Rais Magufuli
JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (Jumaza) kwa kushirikiana na taasisi za Kiislamu wamepongeza juhudi zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kuleta suluhu ya kudumu ya Zanzibar katika mazungumzo yanayowashirikisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa na marais wastaafu.
5 years ago
CCM Blog
RAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA RAIS DK. SHEIN, MANGULA NA DK. BASHIRU ALLY, IKULU YA CHAMWINO, DODOMA, LEO

Dk.CHAMW, Dodoma
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Magufuli amekutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein katika kikao cha ndani kilichofanyika Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma, leo.
Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally ambapo viongozi hao wamezungumzia...
9 years ago
Michuzi
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN IKULU DAR ES SALAAM LEO



10 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Aug
Dk. Shein afunika Z’bar
Dk. Shein afunika Z’bar. NA RAHMA SULEIMAN 25th August 2015 B-pepe Chapa Asema madai ya Maalim Seif kuwa aliibiwa kura katika chaguzi zilizopita hayana msingi. Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Umati wa wanachama wa […]
The post Dk. Shein afunika Z’bar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
10 years ago
GPLMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Dk Shein ataka maendeleo Z’bar