Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Shein ataka maendeleo Z’bar

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, amewahimiza wananchi kujitolea katika kujiletea maendeleo huku akiwahakikishia kuwa Serikali itaendelea kuziunga mkono jitihada hizo kwa manufaa yao na Taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dk. Shein afunika Z’bar

Dk. Shein afunika Z’bar. NA RAHMA SULEIMAN 25th August 2015 B-pepe Chapa Asema madai ya Maalim Seif kuwa aliibiwa kura katika chaguzi zilizopita hayana msingi. Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Umati wa wanachama wa […]

The post Dk. Shein afunika Z’bar appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mtanzania

Jaji Bomani ataka jopo kuijadili Z’bar

bomaniESTHER MNYIKA NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM

JAJI mstaafu Mark Bomani, amesema ili kumaliza dosari zilizojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu kisiwani Zanzibar, njia pekee ni kuunda jopo litakaloweza kumaliza mgogoro uliopo.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Jaji Bomani alisema dosari zinazosemekana zilitokea wakati wa uchaguzi  zinatakiwa zibainike kwa kutumia jopo la wataalamu ambao wanaaminika na ikiwezekana liwe chini ya mmoja wa majaji wakuu wastaafu.

Alisema...

 

10 years ago

Habarileo

CCM Z’bar wamtaka tena Dk Shein

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.WENYEVITI wa CCM katika mikoa sita ya kichama Zanzibar, wamemuomba Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuchukua fomu ya kuwania tena urais wa upande huo wa pili wa Muungano wa Tanzania, kwa kuwa wana imani naye na pia ana sifa lukuki za kuendelea kushika wadhifa huo.

 

9 years ago

IPPmedia

JPM meets Shein on Z`bar impasse


IPPmedia
JPM meets Shein on Z`bar impasse
IPPmedia
President Dr John Magufuli met with his Zanzibar counterpart President of the Revolutionary Government of Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein yesterday in Dar es Salaam for a briefing on the ongoing political impasse in the Isles following annulment of the ...
Talks on Z'bar situation on track, says Dr SheinDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

9 years ago

IPPmedia

Shein opens terminal II construction in Z'bar .


IPPmedia
Shein opens terminal II construction in Z'bar .
IPPmedia
President of Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein laid a foundation stone to the new terminal building at Abeid Aman Karume International Airport in Zanzibar yesterday, following completion of a fence construction around the air field. Dr Shein said the ...
Elect people who can deliver on their promises – SheinDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 3

 

9 years ago

TheCitizen

Shein can end Z’bar impasse, Lipumba says

A veteran politician and former CUF chairman Prof Ibrahim Lipumba has warned Zanzibar President Dr Ali Mohamed Shein that he was tarnishing former President Jakaya Kikwete’s international relation legacy by refusing to allow the October 25 election results to be announced.

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Shein: Z’bar ilishirikishwa mchakato wa Katiba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema tangu kuanza kwa mchakato wa kuandika Katiba mpya, uongozi wa visiwa hivyo ulishirikishwa kila hatua.

Akizungumza mjini Dodoma jana, Dk. Shein alisema pia kupatikana kwa Katiba hiyo inayopendekezwa kumesaidia kumaliza kero zote za Muungano zilizokuwapo.

“Matukio yote ambayo yalikuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Shein: Ushirikiano Z’bar Maziwa Makuu ni mzuri

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema kuwa Zanzibar imekuwa na uhusiano na ushirikiano mzuri na nchi za Maziwa Makuu, hivyo ipo haja ya kuimarisha hatua hiyo kwa kuendelea kuutangaza utalii wa Zanzibar katika nchi hizo.

 

9 years ago

Mwananchi

Shein amweleza Rais Magufuli hatima ya Z’bar

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk Ali Mohamed Shein yaliyolenga kupatiwa mwenendo wa utatuzi wa mkwamo wa kisiasa ulitokea baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani