Dk Shein ataka maendeleo Z’bar
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, amewahimiza wananchi kujitolea katika kujiletea maendeleo huku akiwahakikishia kuwa Serikali itaendelea kuziunga mkono jitihada hizo kwa manufaa yao na Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Aug
Dk. Shein afunika Z’bar
Dk. Shein afunika Z’bar. NA RAHMA SULEIMAN 25th August 2015 B-pepe Chapa Asema madai ya Maalim Seif kuwa aliibiwa kura katika chaguzi zilizopita hayana msingi. Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Umati wa wanachama wa […]
The post Dk. Shein afunika Z’bar appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Jaji Bomani ataka jopo kuijadili Z’bar
ESTHER MNYIKA NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
JAJI mstaafu Mark Bomani, amesema ili kumaliza dosari zilizojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu kisiwani Zanzibar, njia pekee ni kuunda jopo litakaloweza kumaliza mgogoro uliopo.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Jaji Bomani alisema dosari zinazosemekana zilitokea wakati wa uchaguzi zinatakiwa zibainike kwa kutumia jopo la wataalamu ambao wanaaminika na ikiwezekana liwe chini ya mmoja wa majaji wakuu wastaafu.
Alisema...
10 years ago
Habarileo15 Jun
CCM Z’bar wamtaka tena Dk Shein
WENYEVITI wa CCM katika mikoa sita ya kichama Zanzibar, wamemuomba Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuchukua fomu ya kuwania tena urais wa upande huo wa pili wa Muungano wa Tanzania, kwa kuwa wana imani naye na pia ana sifa lukuki za kuendelea kushika wadhifa huo.
9 years ago
IPPmedia27 Dec
JPM meets Shein on Z`bar impasse
IPPmedia
IPPmedia
President Dr John Magufuli met with his Zanzibar counterpart President of the Revolutionary Government of Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein yesterday in Dar es Salaam for a briefing on the ongoing political impasse in the Isles following annulment of the ...
Talks on Z'bar situation on track, says Dr SheinDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 2
9 years ago
IPPmedia10 Oct
Shein opens terminal II construction in Z'bar .
IPPmedia
IPPmedia
President of Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein laid a foundation stone to the new terminal building at Abeid Aman Karume International Airport in Zanzibar yesterday, following completion of a fence construction around the air field. Dr Shein said the ...
Elect people who can deliver on their promises – SheinDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 3
9 years ago
TheCitizen31 Dec
Shein can end Z’bar impasse, Lipumba says
10 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Shein: Z’bar ilishirikishwa mchakato wa Katiba
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Dr.-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema tangu kuanza kwa mchakato wa kuandika Katiba mpya, uongozi wa visiwa hivyo ulishirikishwa kila hatua.
Akizungumza mjini Dodoma jana, Dk. Shein alisema pia kupatikana kwa Katiba hiyo inayopendekezwa kumesaidia kumaliza kero zote za Muungano zilizokuwapo.
“Matukio yote ambayo yalikuwa...
10 years ago
Habarileo13 Jun
Shein: Ushirikiano Z’bar Maziwa Makuu ni mzuri
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema kuwa Zanzibar imekuwa na uhusiano na ushirikiano mzuri na nchi za Maziwa Makuu, hivyo ipo haja ya kuimarisha hatua hiyo kwa kuendelea kuutangaza utalii wa Zanzibar katika nchi hizo.
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Shein amweleza Rais Magufuli hatima ya Z’bar