Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM Z’bar wamtaka tena Dk Shein

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.WENYEVITI wa CCM katika mikoa sita ya kichama Zanzibar, wamemuomba Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuchukua fomu ya kuwania tena urais wa upande huo wa pili wa Muungano wa Tanzania, kwa kuwa wana imani naye na pia ana sifa lukuki za kuendelea kushika wadhifa huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema CCM.

Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi Zanzibar, Waride Bakari JabuCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Wana-CCM Micheweni wamtaka Dk Salmin

WANACHAMA na wakereketwa wa CCM Wilaya ya Micheweni wamekiomba Chama Cha Mapinduzi kumpeleka Rais mstaafu wa Awamu ya Tano Zanzibar, Dk Salmin Amour Juma `Komandoo’ kisiwani Pemba ili akafungue maskani waliyoijenga na kuipa jina lake.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dk. Shein afunika Z’bar

Dk. Shein afunika Z’bar. NA RAHMA SULEIMAN 25th August 2015 B-pepe Chapa Asema madai ya Maalim Seif kuwa aliibiwa kura katika chaguzi zilizopita hayana msingi. Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Umati wa wanachama wa […]

The post Dk. Shein afunika Z’bar appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wamtaka Katibu wa CCM kuacha kumbeba kwa mbeleko Mwigulu Nchemba

DAVD JAIRO

Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida David Jairo (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya madai yao ya kugomea kuendelea na mchakato wa kura za maoni hadi msimamizi wa uchaguzi ambae ni Katibu wa CCM Wilaya ya Iramba, Mathias Shidagisha aondolewe kwenye zoezi hilo, kushoto ni Amon Gyunda.

KILIMBA

Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida, Juma Killimbah, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye ofisi za chama cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Shein ataka maendeleo Z’bar

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, amewahimiza wananchi kujitolea katika kujiletea maendeleo huku akiwahakikishia kuwa Serikali itaendelea kuziunga mkono jitihada hizo kwa manufaa yao na Taifa.

 

9 years ago

TheCitizen

Shein can end Z’bar impasse, Lipumba says

A veteran politician and former CUF chairman Prof Ibrahim Lipumba has warned Zanzibar President Dr Ali Mohamed Shein that he was tarnishing former President Jakaya Kikwete’s international relation legacy by refusing to allow the October 25 election results to be announced.

 

9 years ago

IPPmedia

JPM meets Shein on Z`bar impasse


IPPmedia
JPM meets Shein on Z`bar impasse
IPPmedia
President Dr John Magufuli met with his Zanzibar counterpart President of the Revolutionary Government of Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein yesterday in Dar es Salaam for a briefing on the ongoing political impasse in the Isles following annulment of the ...
Talks on Z'bar situation on track, says Dr SheinDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

11 years ago

Mtanzania

Dk. Shein: Z’bar ilishirikishwa mchakato wa Katiba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema tangu kuanza kwa mchakato wa kuandika Katiba mpya, uongozi wa visiwa hivyo ulishirikishwa kila hatua.

Akizungumza mjini Dodoma jana, Dk. Shein alisema pia kupatikana kwa Katiba hiyo inayopendekezwa kumesaidia kumaliza kero zote za Muungano zilizokuwapo.

“Matukio yote ambayo yalikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani