Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


introducing "ZIGO" by Ambwene yesaya

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AMBWENE MWASONGWE AKIWABURUDISHA MASHABIKI TAIFA

Msanii wa nyimbo za Injili, Ambwene Mwasongwe akiimba wimbo wa Upendo ndani ya Tamasha la Matumaini 2014. Akitoa burudani kwa mashabiki  …

 

10 years ago

Vijimambo

Yesaya Ambilikile YP msanii wa kundi la TKM afariki dunia


Msanii wa kundi la TMK Wanaume Family,Yesaya Ambilikile ‘ Y- P’(kulia kwenye picha) amefariki dunia usiku wa jana katika hospitali ya Temeke baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kifua.

 

9 years ago

Mwananchi

AMBWENE YESSAYA :Msanii anayemiliki kipindi cha Mkasi

Tasnia ya sanaa hususan muziki ni kazi kama ilivyo kwa fani nyingine na endapo walioamua kuichagua watakuwa na bidii, inaweza kuwainulia kipato na kujikuta katika maisha bora.

 

9 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi aifariji familia ya marehemu Koplo Yesaya Mwakambi

Jeshi la Polisi Nchini limeelezea faraja yake kutokana na mfumo wa Viongozi wa Kitaifa kuonyesha muelekeo wa kuwajali watumishi wao kutoka Taasisi tofauti za Umma na hata binafsi lakini zaidi wake watumishi wa ngazi ya chini. Afisa wa Polisi S.P Zakaria Benard alitoa faraja hizo kwa niaba ya Jeshi la Polisi wakati akitoa shukrani za Jeshi hilo mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika katika Kata ya Goba Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam kutoa mkono...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wamtwisha zigo JK

SIKU mbili baada ya mazunguzo baina Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kukubaliana Bunge maalumu lisitishwe Oktoba 4 mwaka huu, Umoja wa Katiba ya Wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

JK amtwisha zigo Rais mpya

Mwanza. Wafanyakazi jana walimsomea Rais Jakaya Kiwete madai 11 wanayomtaka awatimizie kabla ya kumaliza muda wake Oktoba, lakini mkuu huyo wa nchi amesema ataishia pale atakapoweza na kumuachia mrithi wake kazi ya kushughulikia mengine.

 

11 years ago

Mwananchi

TCAA wamtwika zigo Mwakyembe

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe jana alijikuta akitwishwa masuala mazito kutoka kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), ambao walibainisha changamoto nyingi zinazowarudisha nyuma kutekeleza majukumu yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete

Wakati majadiliano ya kina yanaendelea visiwani ili kufikia mwafaka wa kuendelea na mchakato wa kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar uliofanyika Oktoba 25 au kurudiwa upya, imeelezwa kuwa suala hilo linaweza kupata ufumbuzi iwapo litashughulikiwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete au Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Kikwete ametupiwa zigo hilo kwa sababu ya wadhifa wake wa uenyekiti wa c

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani