UKAWA wamtwisha zigo JK
SIKU mbili baada ya mazunguzo baina Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kukubaliana Bunge maalumu lisitishwe Oktoba 4 mwaka huu, Umoja wa Katiba ya Wananchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Dec
CUF wamtwisha zigo Magufuli
NA MWANDISHI WETU
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitaendelea kusimamia na kulinda chaguo la wananchi katika Uchaguzi wa Rais wa Zanzibar uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Pamoja na hali hiyo, CUF imesema bado inatoa nafasi kwa Rais Dk. John Magufuli kutokana na jitihada anazozifanya katika kuupatia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Uchaguzi wa Zanzibar ambao matokeo yake yamefutwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Nyambui aitupia zigo mikoa
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amevitupia lawama vyama vya mchezo wa Riadha vya Mkoani kwa maandalizi duni ya wanariadha wao ambao wamewakilisha katika mashindano ya...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Ivo: Nilibeba ‘zigo’ la lawama
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Vigogo watwishwa zigo Z’bar
*Wamo Dk. Salmin Amour, Mwinyi, Amani Karume
*Zitto amtaka Magufuli atangaze hali ya hatari
*Jumuiya ya Madola yaingilia kati
Na Waandishi Wetu, Zanzibar/Dar
JUHUDI za kusaka suluhu kwa ajili ya kutatua mgogoro wa kisiasa wa Zanzibar zinaendelea, baada ya vigogo kadhaa wa kitaifa na kimataifa kuongezwa katika timu ya mazungumzo.
Taarifa kutoka visiwani huko zinasema, katika kufanikisha mchakato huo imeundwa kamati maalumu inayowashirikisha marais wote wastaafu wa Zanzibar kwa lengo la...
10 years ago
Vijimambo05 Dec
CCM yajitenga zigo la Escrow
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-Nauyee--December5-2014.jpg)
Wakati vigogo waliotakiwa kuwajibika kutokana na kuhusika kwenye sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka kwenye akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakiendelea kujivuta miguu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kujiweka kando na suala hilo.
Wabunge kadhaa kutoka CCM wakiwamo mawaziri Sospeter Muhongo wa Nishati na Madini na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ni miongoni mwa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
RC Sadik awatupia zigo madiwani
MKUU wa Mkoa (RC) Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amesema suala la kuliweka jiji hilo katika hali ya usafi halina mjadala kwa sababu mpango huo umetokana na madiwani wa...
10 years ago
Michuzi02 Feb
9 years ago
Habarileo20 Nov
Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Charles Mkwasa amekubali kubeba lawama za Watanzania kufuatia kipigo cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 huko Urusi uliofanyika usiku wa Jumanne wiki hii huko Bilda, Algeria.