Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA wamtwisha zigo JK

SIKU mbili baada ya mazunguzo baina Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kukubaliana Bunge maalumu lisitishwe Oktoba 4 mwaka huu, Umoja wa Katiba ya Wananchi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

CUF wamtwisha zigo Magufuli

NA MWANDISHI WETUmaaaalim-seif

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitaendelea kusimamia na kulinda chaguo la wananchi katika Uchaguzi wa Rais wa Zanzibar uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Pamoja na hali hiyo, CUF imesema bado inatoa nafasi kwa Rais Dk. John Magufuli kutokana na jitihada anazozifanya katika kuupatia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Uchaguzi wa Zanzibar ambao matokeo yake yamefutwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyambui aitupia zigo mikoa

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amevitupia lawama vyama vya mchezo wa Riadha vya Mkoani kwa maandalizi duni ya wanariadha wao ambao wamewakilisha katika mashindano ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo: Nilibeba ‘zigo’ la lawama

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda amesema kocha Goran Kopunovic alimpa jukumu zito la kumtaka akadake penalti kama angeshindwa angebebeshwa lawama zaidi.

 

9 years ago

Mwananchi

Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete

Wakati majadiliano ya kina yanaendelea visiwani ili kufikia mwafaka wa kuendelea na mchakato wa kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar uliofanyika Oktoba 25 au kurudiwa upya, imeelezwa kuwa suala hilo linaweza kupata ufumbuzi iwapo litashughulikiwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete au Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Kikwete ametupiwa zigo hilo kwa sababu ya wadhifa wake wa uenyekiti wa c

 

9 years ago

Mtanzania

Vigogo watwishwa zigo Z’bar

Pg 2*Wamo Dk. Salmin Amour, Mwinyi, Amani Karume

*Zitto amtaka Magufuli atangaze hali ya hatari

*Jumuiya ya Madola yaingilia kati

Na Waandishi Wetu, Zanzibar/Dar

JUHUDI za kusaka suluhu kwa ajili ya kutatua mgogoro wa kisiasa wa Zanzibar zinaendelea, baada ya vigogo kadhaa wa kitaifa na kimataifa kuongezwa katika timu ya mazungumzo.

Taarifa kutoka visiwani huko zinasema, katika kufanikisha mchakato huo imeundwa kamati maalumu inayowashirikisha marais wote wastaafu wa Zanzibar kwa lengo la...

 

10 years ago

Vijimambo

CCM yajitenga zigo la Escrow

Katibu wa Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye.
Wakati vigogo waliotakiwa kuwajibika kutokana na kuhusika kwenye sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka kwenye akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakiendelea kujivuta miguu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kujiweka kando na suala hilo.

Wabunge kadhaa kutoka CCM wakiwamo mawaziri Sospeter Muhongo wa Nishati na Madini na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ni miongoni mwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Sadik awatupia zigo madiwani

MKUU wa Mkoa (RC) Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amesema suala la kuliweka jiji hilo katika hali ya usafi halina mjadala kwa sababu mpango huo umetokana na madiwani wa...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Habarileo

Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Charles Mkwasa amekubali kubeba lawama za Watanzania kufuatia kipigo cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 huko Urusi uliofanyika usiku wa Jumanne wiki hii huko Bilda, Algeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani