CCM yajitenga zigo la Escrow
Katibu wa Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye.
Wakati vigogo waliotakiwa kuwajibika kutokana na kuhusika kwenye sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka kwenye akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakiendelea kujivuta miguu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kujiweka kando na suala hilo.
Wabunge kadhaa kutoka CCM wakiwamo mawaziri Sospeter Muhongo wa Nishati na Madini na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ni miongoni mwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Serikali yajitenga na kesi ya ubakaji Somalia
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Escrow kuing’oa CCM
10 years ago
Mwananchi19 Jan
CCM kuwabana makada escrow
10 years ago
CC Contention14 Jan
General election, 'Escrow' in CCM
Daily News
Daily News
THE Central Committee of CCM met for over six hours here yesterday during which three main agenda were tabled for deliberation. According to the party's Ideology and Publicity Saecretary Nape Nnauye, the three items included the Tegeta Escrow account, ...
10 years ago
TheCitizen15 Jan
CCM to decide on escrow beneficiaries
10 years ago
TheCitizen19 Jan
Not everybody in CCM is escrow crook: Mwigulu
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Zomeazomea ya Escrow yaikera CCM
10 years ago
Habarileo21 Jan
Kamati Kuu CCM kujadili vigogo Escrow
IMEELEZWA kuwa, maamuzi yote ya kikao cha Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM kilichokutana juzi, kujadili masuala ya kimaadili kwa wanachama wake wanaotajwa kuhusika katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), yatafikishwa katika Kamati Kuu ya Chama kwa hatua zaidi.
10 years ago
IPPmedia28 Dec
Escrow account scam may decide CCM`s future
IPPmedia
A Communications and Research Associate, Maya Prabhu from Africa Research Institute, ARI, wrote a very interesting article (published by The Citizen, December 24th 2014) on the effect of Tanzania's dependence on foreign aid. Prabhu quoted one of ...