Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zomeazomea ya Escrow yaikera CCM

Kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambazo zimekuwa zikitawaliwa na zomeazomea na vurugu, zimechukua sura mpya baada ya wafuasi wa CCM kuitwa ‘escrow’ kiasi cha katibu wa chama hicho wilayani Arusha, Feruz Bana kutaka wapinzani wazungumze hoja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Zomeazomea, vilio vyatawala kesi ya mtoto wa boksi

Umati wa watu, wengi wao wakiwa wanawake jana ulifurika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, kufuatilia kesi ya kula njama na kumfanyia vitendo vya ukatili mtoto Nasra Rashid (4) wakati wa uhai wake inayowakabili watu watatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow kuing’oa CCM

 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema licha ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwadharau Watanzania na kuamini kwamba hawana madhara kwa ustawi wake, kashfa ya uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow itaking’oa chama hicho madarakani.

 

10 years ago

Vijimambo

CCM yajitenga zigo la Escrow

Katibu wa Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye.
Wakati vigogo waliotakiwa kuwajibika kutokana na kuhusika kwenye sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka kwenye akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakiendelea kujivuta miguu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kujiweka kando na suala hilo.

Wabunge kadhaa kutoka CCM wakiwamo mawaziri Sospeter Muhongo wa Nishati na Madini na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ni miongoni mwa...

 

10 years ago

TheCitizen

CCM to decide on escrow beneficiaries

The fate of prominent CCM members implicated in the Tegeta escrow account scandal is now in the hands of the party’s ethics committee, which will meet on January 19. This was one of the resolutions reached by the ruling party’s Central Committee, which met on Tuesday in Zanzibar.

 

10 years ago

TheCitizen

Not everybody in CCM is escrow crook: Mwigulu

>Deputy CCM secretary general Mwigulu Nchemba has expressed disdain at voters who punished the party’s candidates in the recently held civic elections on the basis the Tegeta escrow account scandal, saying they had passed the right judgment on wrong people.

 

10 years ago

CC Contention

General election, 'Escrow' in CCM


Daily News
General election, 'Escrow' in CCM-CC contention
Daily News
THE Central Committee of CCM met for over six hours here yesterday during which three main agenda were tabled for deliberation. According to the party's Ideology and Publicity Saecretary Nape Nnauye, the three items included the Tegeta Escrow account, ...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM kuwabana makada escrow

Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM leo inaketi kutoa hatima ya makada wa chama hicho waliotajwa kuhusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

IPPmedia

Escrow account scam may decide CCM`s future


Escrow account scam may decide CCM`s future
IPPmedia
A Communications and Research Associate, Maya Prabhu from Africa Research Institute, ARI, wrote a very interesting article (published by The Citizen, December 24th 2014) on the effect of Tanzania's dependence on foreign aid. Prabhu quoted one of ...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM ina kashfa ya escrow tu, asema Msekwa

Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani